Wanaume wa Kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure. Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Wanaume wa Kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure. Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Yaani kabisa mnakaa na kungojea nyama za misaada?

Na mnagombana kupanga foleni na akina mama na mnasukumana nao kwenye foleni ya kungojea nyama za misaada?

Hapana bhana, ndio wanaume tuna majukumu ila haiwezekaniki kwa sisi kwenda kupanga foleni,kugombania nyama za misaada na akina mama.

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha haya sasa leo mnagombania nyama za bure....kesho si mnaweza hata kuwauza wake zenu au watoto wenu kwa ajili ya nyama za misaada?

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure.
Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Inakuaje nyama za bure mnagombania?

Mnatuangusha sana wanaume wote mliopanga foleni kwenda kugombania nyama za bure.

NB: HATA KAMA UNA NJAA AU UCHUMI UNAKABA, LAKINI MWANAUME JIFUNZE KUFICHA AIBU NDOGO NDOGO ZINAZOWEZA KUEPUKIKA, SABABU WEWE NI KICHWA CHA FAMILIA.
NA VIONGOZI WA DINI MSITUDHALILISHE KWANINI MSITUGAWIE VIFURUSHI VYA NYAMA NYUMBANI....MPAKA TUJE KWENYE NYUMBA ZA IBADA.....AU MNATUMIA UMASIKINI WETU KWA MANUFAA YENU???
Sasa mkuu ulitaka hao walimu wafanyeje wakati wamepigika kweli kweli hawana ata mia mbovu? Ebu jifunze kuwahurumia walimu bwana
 
Unahisi nakupanga?😂
Nyama yenyewe hata kg haikufika, kesho yake sikukuu kaniletea nikaogopa kula nyama ya kafara.
Tunashukuru mkuu, wewe mwenzetu Mungu amekuruzuku sisi wengine uwezo wa kununua hatuna ndiomaana tunapanga foleni kutwa nzima tukiwa na familia, ila kwavile tuna miguu na mikono acha tuendelee kupambana Iko siku Allah ataturuzuku kama wewe
 
Yaani kabisa mnakaa na kungojea nyama za misaada?

Na mnagombana kupanga foleni na akina mama na mnasukumana nao kwenye foleni ya kungojea nyama za misaada?

Hapana bhana, ndio wanaume tuna majukumu ila haiwezekaniki kwa sisi kwenda kupanga foleni,kugombania nyama za misaada na akina mama.

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha haya sasa leo mnagombania nyama za bure. Kesho si mnaweza hata kuwauza wake zenu au watoto wenu kwa ajili ya nyama za misaada?

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure.
Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Inakuaje nyama za bure mnagombania?

Mnatuangusha sana wanaume wote mliopanga foleni kwenda kugombania nyama za bure.

NB: HATA KAMA UNA NJAA AU UCHUMI UNAKABA, LAKINI MWANAUME JIFUNZE KUFICHA AIBU NDOGO NDOGO ZINAZOWEZA KUEPUKIKA, SABABU WEWE NI KICHWA CHA FAMILIA.

NA VIONGOZI WA DINI MSITUDHALILISHE KWANINI MSITUGAWIE VIFURUSHI VYA NYAMA NYUMBANI....MPAKA TUJE KWENYE NYUMBA ZA IBADA.....AU MNATUMIA UMASIKINI WETU KWA MANUFAA YENU?
Mtaa gani huo lilikofanyika tukio hilo?
Wanaume kugombania nyama!
Sijawahi kusikia.
 
Tunashukuru mkuu, wewe mwenzetu Mungu amekuruzuku sisi wengine uwezo wa kununua hatuna ndiomaana tunapanga foleni kutwa nzima tukiwa na familia, ila kwavile tuna miguu na mikono acha tuendelee kupambana Iko siku Allah ataturuzuku kama wewe
Duuuh
 
Back
Top Bottom