Wanaume wa Kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure. Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Wanaume wa Kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure. Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Yaani kabisa mnakaa na kungojea nyama za misaada?

Na mnagombana kupanga foleni na akina mama na mnasukumana nao kwenye foleni ya kungojea nyama za misaada?

Hapana bhana, ndio wanaume tuna majukumu ila haiwezekaniki kwa sisi kwenda kupanga foleni,kugombania nyama za misaada na akina mama.

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha haya sasa leo mnagombania nyama za bure. Kesho si mnaweza hata kuwauza wake zenu au watoto wenu kwa ajili ya nyama za misaada?

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure.
Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Inakuaje nyama za bure mnagombania?

Mnatuangusha sana wanaume wote mliopanga foleni kwenda kugombania nyama za bure.

NB: HATA KAMA UNA NJAA AU UCHUMI UNAKABA, LAKINI MWANAUME JIFUNZE KUFICHA AIBU NDOGO NDOGO ZINAZOWEZA KUEPUKIKA, SABABU WEWE NI KICHWA CHA FAMILIA.

NA VIONGOZI WA DINI MSITUDHALILISHE KWANINI MSITUGAWIE VIFURUSHI VYA NYAMA NYUMBANI....MPAKA TUJE KWENYE NYUMBA ZA IBADA.....AU MNATUMIA UMASIKINI WETU KWA MANUFAA YENU?
Njaa na Aibu wapi na wapi?
 
Yaani kabisa mnakaa na kungojea nyama za misaada?

Na mnagombana kupanga foleni na akina mama na mnasukumana nao kwenye foleni ya kungojea nyama za misaada?

Hapana bhana, ndio wanaume tuna majukumu ila haiwezekaniki kwa sisi kwenda kupanga foleni,kugombania nyama za misaada na akina mama.

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha haya sasa leo mnagombania nyama za bure. Kesho si mnaweza hata kuwauza wake zenu au watoto wenu kwa ajili ya nyama za misaada?

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure.
Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Inakuaje nyama za bure mnagombania?

Mnatuangusha sana wanaume wote mliopanga foleni kwenda kugombania nyama za bure.

NB: HATA KAMA UNA NJAA AU UCHUMI UNAKABA, LAKINI MWANAUME JIFUNZE KUFICHA AIBU NDOGO NDOGO ZINAZOWEZA KUEPUKIKA, SABABU WEWE NI KICHWA CHA FAMILIA.

NA VIONGOZI WA DINI MSITUDHALILISHE KWANINI MSITUGAWIE VIFURUSHI VYA NYAMA NYUMBANI....MPAKA TUJE KWENYE NYUMBA ZA IBADA.....AU MNATUMIA UMASIKINI WETU KWA MANUFAA YENU?
Hujadanganya umeandika hoja yenye mashiko sana, juzi last week huku mkoa ulioko mpakan na Rwanda na Uganda Kiboko (mnyama) aliuawa na maliasili kutokana na sababu maalum. Wakati wa kugawa Ile nyama niliona aibu mimi.!
 
Hujadanganya umeandika hoja yenye mashiko sana, juzi last week huku mkoa ulioko mpakan na Rwanda na Uganda Kiboko (mnyama) aliuawa na maliasili kutokana na sababu maalum. Wakati wa kugawa Ile nyama niliona aibu mimi.!
Watoto hawakukanyangwa mkuu???
 
Ngoja washibe wanakuja kukunanga muda sio mrefu utaomba thread ifutwe na admin
 
Kuwaona hao jamaa waliokua wana gombania nyama isiwe sababu ya kutusema wanaume wa Tanzania kama vile na wengine tulikuepo huko jifunze kuandika habari bila kujumuisha na wasio husika
Na ingewezekana angewapiga mpaka picha kukamilisha ripoti iliyo sahihi.
 
Ila sio mbaya........wanaogawa si wameamua kutudhalilisha ili wakatuseme huko kwao kua waafrika masikini wa kutupwa
 
Ndoo utafutaji wenyewe mtoto hawezi uliza kama ulikuwa unagombania
 
Yaani kabisa mnakaa na kungojea nyama za misaada?

Na mnagombana kupanga foleni na akina mama na mnasukumana nao kwenye foleni ya kungojea nyama za misaada?

Hapana bhana, ndio wanaume tuna majukumu ila haiwezekaniki kwa sisi kwenda kupanga foleni,kugombania nyama za misaada na akina mama.

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha haya sasa leo mnagombania nyama za bure. Kesho si mnaweza hata kuwauza wake zenu au watoto wenu kwa ajili ya nyama za misaada?

Wanaume wa kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure.
Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Inakuaje nyama za bure mnagombania?

Mnatuangusha sana wanaume wote mliopanga foleni kwenda kugombania nyama za bure.

NB: HATA KAMA UNA NJAA AU UCHUMI UNAKABA, LAKINI MWANAUME JIFUNZE KUFICHA AIBU NDOGO NDOGO ZINAZOWEZA KUEPUKIKA, SABABU WEWE NI KICHWA CHA FAMILIA.

NA VIONGOZI WA DINI MSITUDHALILISHE KWANINI MSITUGAWIE VIFURUSHI VYA NYAMA NYUMBANI....MPAKA TUJE KWENYE NYUMBA ZA IBADA.....AU MNATUMIA UMASIKINI WETU KWA MANUFAA YENU?
Utakuta hao wanaume ni wale Waislam wapigao wenzao wanaofunga wakati wa ramadhani.
 
Kama wewe unamudu mahitaji Yako Kwa usahihi na uhakika shukuru MUNGU
Maisha hayafanani kati ya familia na familia

Kuna mwingine ndio unafuu wake hiko kitoweo angalau anapata protini kutoka kwenye nyama mara moja baada ya miez 6
Daaaa mixed feelings......
 
Back
Top Bottom