Wanaume wa mikoani wanabaki fit kwa sababu wanakula namna hii..

Wanaume wa mikoani wanabaki fit kwa sababu wanakula namna hii..

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Pamoja na kwamba wazee wa mikoani huitwa washamba na wepesi kuingizwa mjini lakini katika suala la uimara wa afya na nguvu za kiume wako vyema.

Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana

Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...

wazingatie vyakula vya asili

Hapa yalibaki maziwa tu
FB_IMG_1684498684154.jpg
 
Najua unaziponda chips. Niache kula vizuri nile makaba na karanga kisa mwanamke bora nile chips mayai kidari kachumbari kibao na pilipili hao wanawake wenyewe wanapenda kula vizuri mikoani kuna shida sana mtu ukila chips ni sherehe.

Niache kula mishikaki kisa mwanamke mimi sio mjinga. Maisha ya kijijini ni kilimo ili ulime lazima ule chakula kigumu sana
 
Pamoja na kwamba wazee wa mikoani huitwa washamba na wepesi kuingizwa mjini lakini katika suala la uimara wa afya na nguvu za kiume wako vyema.

Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana

Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...

wazingatie vyakula vya asili

Hapa yalibaki maziwa tuView attachment 2627655
Mwisho wa siku wamama watawakimbia
 
Hapo ongeza muhogo,kipande Cha Nazi na maziwa fureshii,kitakachotoka hapo si wazungu tena.
 
Pamoja na kwamba wazee wa mikoani huitwa washamba na wepesi kuingizwa mjini lakini katika suala la uimara wa afya na nguvu za kiume wako vyema.

Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana

Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...

wazingatie vyakula vya asili

Hapa yalibaki maziwa tuView attachment 2627655
Ukishamaliza kula hii kitu utulivu huwa ziro
 
Ni kujamba namba tuuu , mtu anakula viazi na maziwa na Karanga , alaf ale maharage sjui makande anakuwa anajamba tuuu yaani ushuzi mzto mzto , hlo lyf hapana Kwa kweli
 
Pamoja na kwamba wazee wa mikoani huitwa washamba na wepesi kuingizwa mjini lakini katika suala la uimara wa afya na nguvu za kiume wako vyema.

Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana

Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...

wazingatie vyakula vya asili

Hapa yalibaki maziwa tuView attachment 2627655
Labda ungesema wanafanya zaidi kazi za kutumia nguvu na ulaji wa vitu visivyokobolewa, ila sababu sio iko chakula ulichoweka hapo.
 
Pamoja na kwamba wazee wa mikoani huitwa washamba na wepesi kuingizwa mjini lakini katika suala la uimara wa afya na nguvu za kiume wako vyema.

Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana

Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...

wazingatie vyakula vya asili

Hapa yalibaki maziwa tuView attachment 2627655
Nilipewa huo mlo na maziwa mgando nilifurahi sana aiseh!!
 
Lakini wake zenu wakija Dar tunawala mbususu hata kurudi huko hawatani 🤣🤣
 
Sawa, sema mkishafika Daslam hiyo mizizi huwa mnaisahau lakini na baada ya mwezi wajanja mnaanza kujiona nyie shwaaain!
 
Pamoja na kwamba wazee wa mikoani huitwa washamba na wepesi kuingizwa mjini lakini katika suala la uimara wa afya na nguvu za kiume wako vyema.

Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana

Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...

wazingatie vyakula vya asili

Hapa yalibaki maziwa tuView attachment 2627655
Mboga swadakta kabisa
 
Watu siyo wajinga buana...

Mnapataga wapi nguvu za Kumlinganisha Mwanaume wa Dar na wa Mikoani jamani?

Nasemaje....Wanaume wa Dar kuleni vile Inafaa....

Hizi hekaheka mnazofanya hapa Mjini...Wa Mikoani watasubiri sana...
 
Back
Top Bottom