Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Pamoja na kwamba wazee wa mikoani huitwa washamba na wepesi kuingizwa mjini lakini katika suala la uimara wa afya na nguvu za kiume wako vyema.
Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana
Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...
wazingatie vyakula vya asili
Hapa yalibaki maziwa tu
Wanaume wa mikoani hawali milo yenye mafuta sana
Tazama hii na muwaambie vijana wa Dar kwamba wenzenu hawatumii vumbi la Kongo wala putururu...
wazingatie vyakula vya asili
Hapa yalibaki maziwa tu