Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mariooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kabisaaa,..nimeona kumbe laki nayo ni pesa...utawasikia ooh nisaidie kiduka changu kimepitiwa na TRA kimefungwa,.masikini kwa kumuonea huruma asije kufa na njaa akakosa bando ya kuchangia jf unamuazima..kumbeee ni marioo mjini...
 
Asee mimi sijawahi mkopa mwanamke pesa.

Dah! kwanza sijui nitaanzaje aise! Sjalelewa kiivyo kabisa.

Huwa nawakopesha wanawake zingine wanarudisha zingine ndo ivo tena..!! Adi masela pia huwa nawatoa tu.

Sasa sijui ndo kuhonga uko...
 
Umeandika kwa hisia. Ila tujifunze pia. Mwanaume hajawahi kukupa hela yake unamkopeshaje? Mimi nakusoma kwanza ndo hela yangu tunabadilishana.Nipe nikupe. Hii mambo ya kucheza pata potea ipo siku utaliwa hela mingi. Sema jamaa mweeeee
Umeona eeehh!!Mimi aanze kunipa yeye kwanza...!!!ila unajua mazoea nayo unamuamini mtu mfano mkwe we na don..mfano tu lakini ikitokea kakuomba umkopeshe utashindwaa...!!
 
Umeona eeehh!unajipindaa from nowhere anakutapeli kirahisi rahisi...mtu ukiaminiwa jiaminishe baasii!!unakubali kutoka utu kwa vitu vidogo kabisa...hawana huruma jamani matapeli kaah!halafu ukiwaona huwajui bora teja utamjua!![emoji3][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3]hao wanavaa na mikanda nje,tofauti na mateja wa kitaa..bora teja aki vile...
 
Hili nalo neno vijana wa dar hapa wanapenda kukopa na kutapeli wadada wanashindwa kuuza hata bamia...anakopa akale bata au anakopa akalipe anakodaiwa...[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] huyo wa humu huyo Mungu anamuona tafadhali apite hapa ujumbe auone na alipe madeni ya watu!!
Kwani anayo mengi au hili moja tu? Nimejaribu kumuuliza nimuulize ndugu vipi mbona unavunja heshima simpati.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kabisaaa,..nimeona kumbe laki nayo ni pesa...utawasikia ooh nisaidie kiduka changu kimepitiwa na TRA kimefungwa,.masikini kwa kumuonea huruma asije kufa na njaa akakosa bando ya kuchangia jf unamuazima..kumbeee ni marioo mjini...
Hahahahaahaa

Eti kiduka changu kimepitiwa na TRA!!!

Watu wana fix[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani hapo kwenye kuhanagaika ndio penyewe...Jamaniii akina Dada tunaamka lukwilii kwenda kupambana na hali zetu tunauza hadi ming'okoo na panya ili tupate rizki...halafu mwanaume unaejiita rijali unapanga kupiga vizinga aseee wanaume dizaini hii mnahitaji rehema mnoo...acheni umarioo fanyeni kazi...utatapeli wangapii??utabadili laini ngapii??utahama location ngapi??mfyuuuu

Siku hizi hakuna rizki kitako,lazima uamke uliache shuka ukapambane,.wanaume wenye tabia hii muache mtakuja pigwa risasi za kichwa kama sio za.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]woiiii
Habari yako Somoe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kabisaaa,..nimeona kumbe laki nayo ni pesa...utawasikia ooh nisaidie kiduka changu kimepitiwa na TRA kimefungwa,.masikini kwa kumuonea huruma asije kufa na njaa akakosa bando ya kuchangia jf unamuazima..kumbeee ni marioo mjini...
Lakini umejifunza siku ingine mtu ambae hujala 100 yake usimpe. Utakuta hapo aliwakopa hata 10 huku.. mi ntamtafuta bado hilo jambo nk zito sana hadi naona aibu mimi
 
Back
Top Bottom