Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Basi kaa Kwa kutulia , dunia ishahama kwenye matumizi ya nyenzo duniYeah .Mimi ni mshangazi pro max
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kaa Kwa kutulia , dunia ishahama kwenye matumizi ya nyenzo duniYeah .Mimi ni mshangazi pro max
Habari ya mchana mwali, hope all is good with you...😊Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Ndo maana kikubwa ilimradi kuchovya,,,,,,uhangaike kutongoza wakati sehem nyingine za kutoa upwiru zipo na mtu mwenyewe unajua huna mipango nae ya muda mrefuNi ngumu kumjua sahihi
Vijana hawajui kwamba wanawake walio pevuka awahangaiki na mwanaume who is thinking by is heart, na badala yake they need mam who is thinking by his head.
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Naona binti anawabebesha vijana wote makosa ya vijana wa mtaani kwakeApostle😃😃
Leo itakuwa vizuri zaidi, nikufuate wapiLini sasa
[emoji23] umekujaHabari ya mchana mwali, hope all is good with you...[emoji4]
Naomba tuzungumze nje ya hapa kama hauto jali..[emoji6]
Mawazo yenu hayo ndo yanafanya nao watangulize pesa..Ndo maana kikubwa ilimradi kuchovya,,,,,,uhangaike kutongoza wakati sehem nyingine za kutoa upwiru zipo na mtu mwenyewe unajua huna mipango nae ya muda mrefu
Hehe mawazo ya pande zote 2 , inategemea nani kawahi kumlia timing mwenzieMawazo yenu hayo ndo yanafanya nao watangulize pesa..
Mtajua wenyewe
Ni kuwahiaana tu..[emoji23][emoji23]Hehe mawazo ya pande zote 2 , inategemea nani kawahi kumlia timing mwenzie
Tushajua mnachoangalia ni pesa na kikawaida anaeanza kumueleza mwenzake hitaji lake uyo ndio anajiweka upande dhaifu kwenye mahusiano yaani ndie atatakiwa kutumia nguvu kubwa ili mahusiano yaendelee kuwepo. Tuendelee kuviziana tu ivyo ivyo atakaeanza kufunguka ajue atawajibika kubeba maintance costs zote za mahusiano.Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga. Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kuwa nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii.
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara.
Ukubali kuliwa bure kisa saundi tu au utangaze njaa mapema usiliwe au uliwe kwa faida uamuzi ni wakoNi kuwahiaana tu..[emoji23][emoji23]
😀😀😀😀😀😀Ni nani huyu? Nisije zama pm kumbe tayari nipo nae kwenye mahusiano 😅
Mim binafsi wakati naanza ilikuwa inanisumbua ila saiv naona kawaida tu.Poleni aisee.
Lakini nlichojua mnaogopa kukataliwa.feeling yake ikoje baada ya Hilo jibu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mim binafsi wakati naanza ilikuwa inanisumbua ila saiv naona kawaida tu.
Najisemea mwenyewe Kila mtu ana hisia zake na si lazima hisia za kila mtu zije kwako .
Ukimkuta mwanamke ambae tayari ana mahusiano na ukute huyo mwanaume anampenda balaa usiombe huaga wanajumlishaga na matusi dah
Zamani walikua wanatafutiwa na baba zao, bora sisi vijana wa sasa hivi tunajitosa kuwanasaNi waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Nmecheka sana, kwamba matatizo yanaibuka buuu😝Unaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.