Wanaume wa Tanzania pokeeni Salamu zenu za Pongezi kutoka kwa Wanawake (Warembo) wa Kampala Uganda

Wanaume wa Tanzania pokeeni Salamu zenu za Pongezi kutoka kwa Wanawake (Warembo) wa Kampala Uganda

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimetumwa niwafikishieni hizi Salamu zenu na Mimi kwakuwa ni Mjumbe wala sizicheleweshi ili nisije Kusahau kwani Kichwa changu kinawaza mambo mengi ya Msiba Iran, Kitendo cha Wapuuzi Ireland, Spain na Norway kuitambua Palestina kama Taifa Huru na Vita vya Mashariki ya Kati pamoja na yale yanayoendelea Congo DR na kule Mtwara mpakani na Msumbiji ambapo Watu (hasa wa Makao Upanga) wanavyodondoka tu.

Ni kwamba Wanawake (Warembo) wa Mji wa Kampala hapa nchini Uganda wanasema wanavutiwa zaidi na Wanaume kutoka Tanzania kwakuwa wana Ndoga za maana halafu wana Pumzi za uhakika na upachikaji wao wa Magoli Nyavuni huwa ni ya Nguvu hadi Wanaridhika tofauti na Wanaume wa Mataifa mengine jirani.

Haya Mjumbe hauwawi nimeshawafiksihieni Salamu zenu hivyo mkija huku msishange kuona mnagombaniwa sawa?
 
Watanzania tunapendwa sana East Africa, sio Uganda tu. Kenya tu hapa ukienda daah, wanashoboka vibayaaa
Nakuamini Mkuu kwani kuna Mademu fulani wa Kenya niliwasikia wakisema Wanaume wa TZ wanajua Kushindilia

Mashimo ya Miche ya Migomba vile inavyotakiwa. Ila wa Uganda wao wanasema zaidi kuwa wanajua Kushindilia

Mashimo ya Miche ya Migomba lakini pia wana Majembe makubwa sana kiasi kwamba yanauwezo wa Kulima

Mashimo ya kila aina na kila Ukubwa.

Shikamooni Wanaume wa Bongo ( Tanzania )
 
Mkumbuke wanaume wa Tanzania wanaozungumziwa ni wahaya tu na wasukuma nyie makabila mengine ni kama Kina juma lokole kaeni kimya hamuwezi chochote yani dakika mbil mnasema "aggghhh thanks"

Anyways

Asssh ashh wahaya na wasukuma muwe na usiku mwema
 
Back
Top Bottom