Wanaume wa Tanzania pokeeni Salamu zenu za Pongezi kutoka kwa Wanawake (Warembo) wa Kampala Uganda

Wanaume wa Tanzania pokeeni Salamu zenu za Pongezi kutoka kwa Wanawake (Warembo) wa Kampala Uganda

Nimetumwa niwafikishieni hizi Salamu zenu na Mimi kwakuwa ni Mjumbe wala sizicheleweshi ili nisije Kusahau kwani Kichwa changu kinawaza mambo mengi ya Msiba Iran, Kitendo cha Wapuuzi Ireland, Spain na Norway kuitambua Palestina kama Taifa Huru na Vita vya Mashariki ya Kati pamoja na yale yanayoendelea Congo DR na kule Mtwara mpakani na Msumbiji ambapo Watu (hasa wa Makao Upanga) wanavyodondoka tu.

Ni kwamba Wanawake (Warembo) wa Mji wa Kampala hapa nchini Uganda wanasema wanavutiwa zaidi na Wanaume kutoka Tanzania kwakuwa wana Ndoga za maana halafu wana Pumzi za uhakika na upachikaji wao wa Magoli Nyavuni huwa ni ya Nguvu hadi Wanaridhika tofauti na Wanaume wa Mataifa mengine jirani.

Haya Mjumbe hauwawi nimeshawafiksihieni Salamu zenu hivyo mkija huku msishange kuona mnagombaniwa sawa?
nchi ya uganda kama una nguvu za kiume nenda kapime gear box yako mwanaume mwenzangu kama inaweza kufikia gear 16 mpaka 4wd
 
Wakati huku kwao ndio mabalozi wazuri wa vumbi kutokea Kongo 😀😀
 
Wewe dawa yako ni kupokonywa hiyo cm na boss wako, houseboy gan kutwa kushusha nyuz wakati umepelekwa Ug kulisha ng'ombe wa boss? Muda wa kukata nyas na kusafusha mabanda wewe unachat
 
Mnahonga sana
Rahisi kushikwa akili
Mnapenda kujimwambafai ile za uanaume
Ngono ndo nguzo kuu ya wanaume wa tz mnawahi kuridhika na vipato vyenu baada ya utafutaji kifuatacho👉qyuuums

Mengine mnadanganywa tu
 
Back
Top Bottom