Wanaume wa Tarime, hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana. Badilikeni

Wanaume wa Tarime, hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana. Badilikeni

Sawa Tu

Member
Joined
Nov 7, 2022
Posts
38
Reaction score
131
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu mda mref naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao. Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili
Ni ugumu wa maisha tu kila mkoa na mitaa iko hivyo hasa ukiwa mtu wa story na watu mtu wa kuzoeleka mapema unawezaje fika club na wewe ni mgeni ukajuana na mtu faster hivyo .

USSR
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu mda mref naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao. Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote. Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu. Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
Hao walevi wenzio ndo wakafanya u generalize kuwa Wanaume wa Tarime maboya?!!!
Hiyo sample ni ndogo mno kufanya hitimisho
 
Jana nimemnunulia mzee mmoja wa huko kanda ya ziwa bucket ya flying fish ila sikuja kufungua uzi humu pamoja na hekaheka zake

Tafuta hela uache makasiriko madogomadogo,

watu tunaoshindia Bar hatuna izo pigo zako za kishamba or else you're a new comer.
 
Back
Top Bottom