Wanaume wa Tarime, hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana. Badilikeni

Wanaume wa Tarime, hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana. Badilikeni

Kwanza una bahati sana hukutongozwa ukashikishwe ukuta.

Mwanaume unaendaje bar unakaa kindezi ndezi kama zindiko.

Jamaa wamekuheshimu sana, ulipaswa uombwe makalio.
Kwa maelezo haya inatosha kabisa kuamini kero aliyoitoa hapa mtoa mada hizo bar zenu za tarime ushamba ni tatizo kubwa sana
Fact that hakuna anayepinga ndiyo inazidi kuhalalisha alichoongea huyu member. Watu wamekomaa tu sharing is caring, una bahati hujaombwa ukashikishwe ukuta, kwanini ukae kindezi ndezi

Maisha ni magumu ila siyo kama hivi
 
Back
Top Bottom