Wanaume wa Tarime, hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana. Badilikeni

Wanaume wa Tarime, hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana. Badilikeni

Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
Jamaa alikuwa anajua labda we shoga so alikuwa anataka akakupige pipe. Unaanzaje kukaa sehemu ya vileo umekaa kinyonge. Bahati yako hukujaa kwenye 18 ungenyooshwa hadi nyonga iteguke.
Wanaume wa Daaslam punguzeni makasiriko kwa Wanaume wa Lake zone haya mambo hayahitaji hasira mtapigwa mitama maji muite mmmmmaaaaa
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
Wanaume halisi wa tarime hawapatikani kwenye kumbi za starehe. Uliokutana nao ni wakuja kama wewe.
Kwanza umetoa wapi ruhusa kuzungumzia habari za tarime humu. Koma!!!!
 
Jamaa alikuwa anajua labda we shoga so alikuwa anataka akakupige pipe. Unaanzaje kukaa sehemu ya vileo umekaa kinyonge. Bahati yako hukujaa kwenye 18 ungenyooshwa hadi nyonga iteguke.
Wanaume wa Daaslam punguzeni makasiriko kwa Wanaume wa Lake zone haya mambo hayahitaji hasira mtapigwa mitama maji muite mmmmmaaaaa
Hizi ni akili zinazotokana na mtu anaekula kinyesi cha mbuzi alafu tena anafurahi kabisa. Watu wa Mara bna eti utasikia hmn mboga tamu km kichuri, kichuri chnyw ss uje kufatilia ni mavi ya mbuzi au ngombe yaliyochemshwa 🤔. Kwaio sishangai akili zako
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
Aisee
 
Hayo mambo hata Musoma yapo sana,wanaume wanagongea beer mno. Hilo la kuomba mtungo ni jipya kwangu.
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.

Wafuate Gongo la Mboto kwenye mabanda ya kuku ukawape somo!
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
Ungemuomba mwende akapime akili kwanza kabla hujaja hapa maana huenda huyo alikuwa na shida kichwani au alikuona una hitilafu akataka kujiridhisha
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
...Kwa hiyo ishu ya Mtu mmoja umegeuza kuwa ya Wanaume Wote wa Tarime?? It is not Fair ! [emoji35]...
 
JamiiForums561838404.jpg
 
Kuna kama ka ukwl fln iv ..wapo jamaa ni jiran zangu ..Kuna siku nlikuwa na event nkawaalika na kuwapeleka sehm fln iv....wao huw wanapenda makali sanaa .....waliyatumia hadi yakawazidia wakarud home iv...sasa tangia hyo siku Kila wakinikuta wanataka niwanunulie.....Huwa Sina hiyana nawatoa kimtindo..ila sasa ishakuwa kama mazoea...Yan Kila wknd wanataka niwatoe wkt Kuna muda unajikuta bajet zimebana..
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.
Hao ni Tarimekenge.
 
Kwanza una bahati sana hukutongozwa ukashikishwe ukuta.

Mwanaume unaendaje bar unakaa kindezi ndezi kama zindiko.

Jamaa wamekuheshimu sana, ulipaswa uombwe makalio.
 
Fact that hakuna anayepinga ndiyo inazidi kuhalalisha alichoongea huyu member. Watu wamekomaa tu sharing is caring, una bahati hujaombwa ukashikishwe ukuta, kwanini ukae kindezi ndezi

Maisha ni magumu ila siyo kama hivi
 
Mbona malalamiko yake Kisaikolojia yanaonyesha kuwa Wakurya aliokuwa nao huko Tarime waliyatanua Kimtindo Marinda yake ila Kaogopa tu kuweka bayana Kwetu
Dah

Ndicho walichomfanyia gentamicin?
 
Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale.

Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao.

Kisha akaanza kuniambia eti ameniona nimekaa kinyonge mda mrefu, nimnunulie bia mbili alafu yeye atafte demu mimi ndo nilipe alaf eti tukamgonge wote.

Asee nilishangaa sana, mwanaume kweli unaendaje klabu kutegema kulipiwa bia na mwanaume mwenzako alaf tena mwanaume mwenzako akutolee ela ww ukale mzigo kiurahisi tu.

Ebana nikajisemea moyoni kumbe ni kweli wanaume tumebaki wachache sana duniani. Nikaamua niondoke kabisa kumbi ile kuamia kumbi nyngne ya palepale mjini.

Wacha nisikutane na jamaa wengne wenye pigo hizohizo, nikajua kumbe hizi ndo pigo za chalii wa uku.

Mwisho. Kama mpo huku wanaume wa tarime, niwaambie kuwa hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana, BADILIKENI.

1683086351311.jpg


SAWA NILIKUFATA NIKAKUTAFUTIE DODO ALAFU TULE WOTE LAKINI NDO UJE KUNITANGAZA HUKU NA SIACHI TABIA YANGU
 
Back
Top Bottom