Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
UmerudiTamaa tu hawana lolote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmerudiTamaa tu hawana lolote!
Ndio ilikua ya wiki Moja tu! Kule ndio ya mwezi mzima!Umerudi
Polesana karibu nduguNdio ilikua ya wiki Moja tu! Kule ndio ya mwezi mzima!
Asante nishakaribia !Polesana karibu ndugu
Kwa Niaba ya wachepukaji , ni kweli tunapenda MbususuWanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wakezenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu?? Wake zenu wanaingiaje hapo
Astaghifilullah!Yamekukuta?😜😜😜😜Wanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wakezenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu?? Wake zenu wanaingiaje hapo
Ndugu wengine wanafanya kusudi kabisa unakuta kabana kutoa, anaamua atumie uongo tu kulainisha ma mara nyingi si kweli kama anasema madhaifu ya mkewe. Unadhani bila ya uongo wanaenda hawaKwa Niaba ya wachepukaji , ni kweli tunapenda Mbususu
Ila huyo anayetangaza madhaifu ya mkewe, ni MPUMBAVU, MJINGA, HANA AKILI.
Ka ufupi hutakiwi kutangaza madhaifu ya Mwanamke ulokulana naye hata kama sio mkeo.
Huyo mwanaume kama bado uponae basi utakua unaroho ya chuma.Wanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wakezenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu?? Wake zenu wanaingiaje hapo
Kumbe huwa unachepuka [emoji2301]
Kwann iwe mara Moja moja kwann usiache kabisaMara moja moja...lakini huwa simsemi vibaya mtoto wa mama mkwe
Na wahivi ni wengi yan mada kuuu mke wangu hv...wengine wanaenda mbali zaidi wanamrecord wife anatumiwa mchepukoKwa Niaba ya wachepukaji , ni kweli tunapenda Mbususu
Ila huyo anayetangaza madhaifu ya mkewe, ni MPUMBAVU, MJINGA, HANA AKILI.
Ka ufupi hutakiwi kutangaza madhaifu ya Mwanamke ulokulana naye hata kama sio mkeo.
Msikimbie swali aiseee maana mmezidi sasa
Duuuhh ni wajinga balaaaNa wahivi ni wengi yan mada kuuu mke wangu hv...wengine wanaenda mbali zaidi wanamrecord wife anatumiwa mchepuko
Njoo pm basi tuyajenge. Mimi nikichepuka, huwa simsemi kabisa mke wangu. 😇Wanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wakezenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu?? Wake zenu wanaingiaje hapo