Wanaume wachepukaji kuna swali lenu huku

Wanaume wachepukaji kuna swali lenu huku

Wanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wakezenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu?? Wake zenu wanaingiaje hapo
Kwa Niaba ya wachepukaji , ni kweli tunapenda Mbususu

Ila huyo anayetangaza madhaifu ya mkewe, ni MPUMBAVU, MJINGA, HANA AKILI.

Ka ufupi hutakiwi kutangaza madhaifu ya Mwanamke ulokulana naye hata kama sio mkeo.
 
Usipodanganywa unafikiri utachanua vipi miguu yako na kuachia mali wazi, nawe unaamini kabisa jamaa kapachoka huko na kanasa kwako unampa yote. Ila mwisho wa siku anarudi kwa mkewe anatulizana, ma kwako anakuja kudokoa na kuondoka tu.

Bila kuongopewa wengine hawawapati kirahisi
 
Kwa Niaba ya wachepukaji , ni kweli tunapenda Mbususu

Ila huyo anayetangaza madhaifu ya mkewe, ni MPUMBAVU, MJINGA, HANA AKILI.

Ka ufupi hutakiwi kutangaza madhaifu ya Mwanamke ulokulana naye hata kama sio mkeo.
Ndugu wengine wanafanya kusudi kabisa unakuta kabana kutoa, anaamua atumie uongo tu kulainisha ma mara nyingi si kweli kama anasema madhaifu ya mkewe. Unadhani bila ya uongo wanaenda hawa
 
Wanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wakezenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu?? Wake zenu wanaingiaje hapo
Huyo mwanaume kama bado uponae basi utakua unaroho ya chuma.
Sifa kubwa ya mwanaume ni kifua (simaanishi kifua kikubwa).
Na ukiwa na mwanaume ambae atakua anakusimulia mabaya ya x basi tambua kwamba huyo hakufai
 
Kwa Niaba ya wachepukaji , ni kweli tunapenda Mbususu

Ila huyo anayetangaza madhaifu ya mkewe, ni MPUMBAVU, MJINGA, HANA AKILI.

Ka ufupi hutakiwi kutangaza madhaifu ya Mwanamke ulokulana naye hata kama sio mkeo.
Na wahivi ni wengi yan mada kuuu mke wangu hv...wengine wanaenda mbali zaidi wanamrecord wife anatumiwa mchepuko
 
Msikimbie swali aiseee maana mmezidi sasa

Ni Kwa sababu mnataka kudanganywa.
Kwa mfano unamuuliza mwanaume hivi; wewe si unamke, Kwani Mkeo amekosa nini ambacho Mimi sina?"

Mwanaume atakudanganya vile utakavyo ili akufurahishe alafu ukashampa atarudi Kwa huyohuyo Mkewe aliyemponda,
Kimsingi michepuko ndio hulazimisha Wanaume kuponda Wake zao.

Mchepuko kama ungekuwa na Akili ungeniuliza, kama kweli MKE anamadhaifu hayo ni Kwa nini hampi talaka? Ili akuoe wewe usiye na madhaifu.
 
Wanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wakezenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu?? Wake zenu wanaingiaje hapo
Njoo pm basi tuyajenge. Mimi nikichepuka, huwa simsemi kabisa mke wangu. 😇
 
Back
Top Bottom