Wanaume waheshimiwe milele

Safi sana. Kumbe nanyie sometimes huwa mna-appreciate.
 
Very rare comment hasa umu jf , yaan nsha zoea kuona wanume wana tuna semwa tuu ad sijaaamin nlcho kuwa nasoma
 
wow wanawake aina yako katika ulimwengu wa sasa ni wachache mno yani mmoja jf nzima pongezi kwako tafadhali!...
 
mimi nilikuwa ninahesabu wanaume ambao hawajakupa like kwenye huu uzi.ni kweli cute b wanaume tumeumbwa mateso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…