Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao

wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.

Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.

Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.

Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.

Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.

Mkuu husband/mpenzi wako ana sifa hizo??
 
Hahahahahaaa Kaboom nilijua utadiss tuu...ndio maana atoto hasifiagi

Mie natoa sifa panapostahili sifa, sitoi toi tu sifa ilimradi sifa, Kaboom nitamsifia pale safari ya dubai itapotimia, kwa sasa walaa.

Hivi hao wanaume ulowasifia ni wanaume wepi labda?? Kuna vimeo hataa havistahili hizo sifa kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
It's either you had a bang last night, or someone is about to get manipulated today....

Hapana sijagundua hilo kw muda mfupi au kuanzia jana labla ni muda sana...
Kwani kuna ambayo hapo sio sifa yenu?
 
Mie natoa sifa panapostahili sifa, sitoi toi tu sifa ilimradi sifa, Kaboom nitamsifia pale safari ya dubai itapotimia, kwa sasa walaa.

Hivi hao wanaume ulowasifia ni wanaume wepi labda?? Kuna vimeo hataa havistahili hizo sifa kwakweli.

We mtata sana..Mdogo wako kashanipa sifa..We endelea kubana
 
Last edited by a moderator:
Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao

wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.

Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.

Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.

Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.

Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.

Duu pole sana...
Wanaume sio wachoyo wala bahili ila ni wew hujui jinsi ya kuwachomoa pesa...kumwomba mwanaume pesa awe mchepuko au awe mume wako lazma utumie akili sana... wengi hupenda kuambiwa naomba shiling flan kwa ajili ya kufanyia jambo flan..,ila wengi wetu hupenda kusema tuu "wew nipe hela mimi najua nitafanyia nini"
....mwanaume anakuwa msiri kwako kutokana na wew mwenyewe ulivyo...kwa mfano kuna wanawake wakijua mwanaume kapata hela ataanza ooohh mama yangu anaumwa oooh kuna dera linauzwa mahali badala ya kuwaza hii hela tuanze ujenzi au kufungulia biashara...sasa mwanaume akiona una hizo element hawezi kukushirikisha...
....kuhusu kuchati pia wew unaweza ukawa chanzo cha yeye kutokupenda kuchat na wew...kwa mfano kuna dada mmoja mume wake akijiunga tuu ni kosa kwa nini anajiunga anachat na nani...sasa mwanaume akijua hivyo anafanya kimya kimya usijue...
.....kuhusu kutumia muda mara nyingi kufurahi na marafik tofauti na nyumban kuna sababu... baadhi ya sisi wanawake ni kero sana kwa waume zetu hadi wakiwaza kuja nyumbani wanaumwa kichwa...
Mwanaume ni kama mtoto anahitqji malezi bora mapezi ya ukweli hakika hawezi kukukinai maana mwanaume anayekufanyia hayo hapo juu ni wazi ushamchosha na kukukinai
 
Mie natoa sifa panapostahili sifa, sitoi toi tu sifa ilimradi sifa, Kaboom nitamsifia pale safari ya dubai itapotimia, kwa sasa walaa.

Hivi hao wanaume ulowasifia ni wanaume wepi labda?? Kuna vimeo hataa havistahili hizo sifa kwakweli.

Ni wanaume wa tz na duniani kote...
Hakika mwanaume aitwe mwanaume tuu...
 
Last edited by a moderator:
Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao

wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.

Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.

Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.

Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.

Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.

appearence yako itakua inachangia tunafanyaga hvo kwa ugly creatures
 
Ubarikiwe sana cute b kwa kutuombea wanaume wote wenye roho nzuri maisha marefu na mimi nawaombea wanawake wote wenye roho nzuri maisha marefu na mafanikio mema.

Ameen asante sana Emma
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom