Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

Duu pole sana...
Wanaume sio wachoyo wala bahili ila ni wew hujui jinsi ya kuwachomoa pesa...kumwomba mwanaume pesa awe mchepuko au awe mume wako lazma utumie akili sana... wengi hupenda kuambiwa naomba shiling flan kwa ajili ya kufanyia jambo flan..,ila wengi wetu hupenda kusema tuu "wew nipe hela mimi najua nitafanyia nini"
....mwanaume anakuwa msiri kwako kutokana na wew mwenyewe ulivyo...kwa mfano kuna wanawake wakijua mwanaume kapata hela ataanza ooohh mama yangu anaumwa oooh kuna dera linauzwa mahali badala ya kuwaza hii hela tuanze ujenzi au kufungulia biashara...sasa mwanaume akiona una hizo element hawezi kukushirikisha...
....kuhusu kuchati pia wew unaweza ukawa chanzo cha yeye kutokupenda kuchat na wew...kwa mfano kuna dada mmoja mume wake akijiunga tuu ni kosa kwa nini anajiunga anachat na nani...sasa mwanaume akijua hivyo anafanya kimya kimya usijue...
.....kuhusu kutumia muda mara nyingi kufurahi na marafik tofauti na nyumban kuna sababu... baadhi ya sisi wanawake ni kero sana kwa waume zetu hadi wakiwaza kuja nyumbani wanaumwa kichwa...
Mwanaume ni kama mtoto anahitqji malezi bora mapezi ya ukweli hakika hawezi kukukinai maana mwanaume anayekufanyia hayo hapo juu ni wazi ushamchosha na kukukinai

unaonekana mzoefu sana wa kuwachomoa, ndo maana nilikushindwa we mwanamke
 
We mtata sana..Mdogo wako kashanipa sifa..We endelea kubana

Ha haa haa dada yangu hatoi maana akisifia kidogo mnazani ni kizinga... kaamua kuwa bandidu moja kwa moja
 
Duu pole sana...
Wanaume sio wachoyo wala bahili ila ni wew hujui jinsi ya kuwachomoa pesa...kumwomba mwanaume pesa awe mchepuko au awe mume wako lazma utumie akili sana... wengi hupenda kuambiwa naomba shiling flan kwa ajili ya kufanyia jambo flan..,ila wengi wetu hupenda kusema tuu "wew nipe hela mimi najua nitafanyia nini"
....mwanaume anakuwa msiri kwako kutokana na wew mwenyewe ulivyo...kwa mfano kuna wanawake wakijua mwanaume kapata hela ataanza ooohh mama yangu anaumwa oooh kuna dera linauzwa mahali badala ya kuwaza hii hela tuanze ujenzi au kufungulia biashara...sasa mwanaume akiona una hizo element hawezi kukushirikisha...
....kuhusu kuchati pia wew unaweza ukawa chanzo cha yeye kutokupenda kuchat na wew...kwa mfano kuna dada mmoja mume wake akijiunga tuu ni kosa kwa nini anajiunga anachat na nani...sasa mwanaume akijua hivyo anafanya kimya kimya usijue...
.....kuhusu kutumia muda mara nyingi kufurahi na marafik tofauti na nyumban kuna sababu... baadhi ya sisi wanawake ni kero sana kwa waume zetu hadi wakiwaza kuja nyumbani wanaumwa kichwa...
Mwanaume ni kama mtoto anahitqji malezi bora mapezi ya ukweli hakika hawezi kukukinai maana mwanaume anayekufanyia hayo hapo juu ni wazi ushamchosha na kukukinai
Walianza kukubeza ila kwa hili unajua unachokiandika. Uko sahihi maana katika maisha au hata sex dereva ni mwanamke. Mwanamke akiwa dereva mzuri na gari linakwenda kwa salama
 
navyoipenda pesa sijui aliyeniloga nani? ila namshukuru mchawi wangu loh

Usisahau kuwashukuru wanaume wanaofanya M city unapaona kama kariakoo...
Ha ha haaa kama sio hao kuna watu mliman city tungekuwa tunaenda kula ice cream tuu
 
Dear ladies

If your tired of us when we staring at your boobs just turn around



We like asses too😉😉
 
unaonekana mzoefu sana wa kuwachomoa, ndo maana nilikushindwa we mwanamke

Ha ha haa wew hukunishindwa sema hukunipenda...
Mimi nikiwa na mtu hajutii yaani anafanya mambo ya maana sana..muulize hata sumbai hela zake ila alikuwa hajui kuzipangilia nimemfundisha kuzipangilia now utazani baresa mdogo
 
Last edited by a moderator:
Walianza kukubeza ila kwa hili unajua unachokiandika. Uko sahihi maana katika maisha au hata sex dereva ni mwanamke. Mwanamke akiwa dereva mzuri na gari linakwenda kwa salama

Asante sana ndugu...
 
Mungu awape maisha marefu wanaume wote duniani...

Wanaume wana roho nzurii jamani....

Nianze na mwanaume mwenye familia yani kaoa...yeye anaenda kazini anamwacha mwanamke amelala anachomeka na jua mwanamke anashinda anaangalia season, mwanaume akirudi hela ni za familia sio zake tena...

...Ukipanda kwenye daladala ukikosa siti anaweza kukupisha na wewe uketi...
.....Mwanaume ukiwa na shida ukimfuata ni rahisi sana kukusaidia.....
......Mkiwa kwenye hatari hawezi kukimbia akakuacha lazima ahakikishe mnachomoka wote mkiwa salama....
......Wana maneno ya busara kwa mfano mahospital ukikutana na docta wa kiume unaweza ukapona hata kabla hujaanza doz...
.....Vita ikitokea hao ndio wanaokwenda kupigana vita ili familia zao ziwe salama....
....Ukipendeza ni wa kwanza kukupa ukweli (hata kama ni uongo) kwa kweli hawabanii sifa....
....Ukitamani mali yake yoyote ni mfano simu, laptop,saa na vingine vingi ni rahisi kukupa na kukuachia mojakwa...
....Jamani wanaume acheni waitwe wanaume tuu wanatuhifandi sana mjini...wanatufichia aibu mjini kwa kutupa hela zao tunavaa tunapendeza huku hao wakiungua na jua...
....Bado kwa upendo walionao juu yetu sisi wanawake wanatupa kuitwa kwa majina yao bure kabisa.... kwa mfano mimi cute b nitaitwa mrs sumbai (maana ndio heshima ya mwanamke yoyote yule)

WANAUME NI WA KUHESHIMIWA JAMANI NI WATU MUHIMU SANA KWETU SISI WANAWAKE.

EE MUNGU NAKUOMBA UWAPE MAISHA MAREFU WANAUME WOTE DUNIANI.
Mmoja kwa laki moja,ahsante xn aisee
 
Ngoja kwanza nitafute alichoandika dada yangu atoto kwenye uzi huu ndo akili inikae sawa

Halafu mbona cute b hujatumention? hiyo tabia umeianza lini, au ndo shem sumbai mzee wa hisa kakutaiti
 
Last edited by a moderator:
Ngoja kwanza nitafute alichoandika dada yangu atoto kwenye uzi huu ndo akili inikae sawa

Halafu mbona cute b hujatumention? hiyo tabia umeianza lini, au ndo shem sumbai mzee wa hisa kakutaiti

Mie nilikuwa nakusubiri uje my lovely kaka nikupe sifa zako, siwezi kupoteza sifa zangu aisee, kuna ambao hawazistahili kabisaaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja kwanza nitafute alichoandika dada yangu atoto kwenye uzi huu ndo akili inikae sawa

Halafu mbona cute b hujatumention? hiyo tabia umeianza lini, au ndo shem sumbai mzee wa hisa kakutaiti

Jamani swahiba wangu nisamehe nimesahau kuwaitaa...
Heshima kwenu aisee nyie ni watu muhimu sana jamani..
Na wewe Mungu akuzidishie umri mara dufu.
Alichokiandika atoto ukikisoma lazma usinyae hahaha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom