Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao

wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.

Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.

Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.

Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.

Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.

Inawezekana mwenywe hujitambui na nimzigo Kwa jamaa ndo maana hakushirikishi mambo yake wewe cyo mwanamke mwenye changamoto zoba
 
Duu pole sana...
Wanaume sio wachoyo wala bahili ila ni wew hujui jinsi ya kuwachomoa pesa...kumwomba mwanaume pesa awe mchepuko au awe mume wako lazma utumie akili sana... wengi hupenda kuambiwa naomba shiling flan kwa ajili ya kufanyia jambo flan..,ila wengi wetu hupenda kusema tuu "wew nipe hela mimi najua nitafanyia nini"
....mwanaume anakuwa msiri kwako kutokana na wew mwenyewe ulivyo...kwa mfano kuna wanawake wakijua mwanaume kapata hela ataanza ooohh mama yangu anaumwa oooh kuna dera linauzwa mahali badala ya kuwaza hii hela tuanze ujenzi au kufungulia biashara...sasa mwanaume akiona una hizo element hawezi kukushirikisha...
....kuhusu kuchati pia wew unaweza ukawa chanzo cha yeye kutokupenda kuchat na wew...kwa mfano kuna dada mmoja mume wake akijiunga tuu ni kosa kwa nini anajiunga anachat na nani...sasa mwanaume akijua hivyo anafanya kimya kimya usijue...
.....kuhusu kutumia muda mara nyingi kufurahi na marafik tofauti na nyumban kuna sababu... baadhi ya sisi wanawake ni kero sana kwa waume zetu hadi wakiwaza kuja nyumbani wanaumwa kichwa...
Mwanaume ni kama mtoto anahitqji malezi bora mapezi ya ukweli hakika hawezi kukukinai maana mwanaume anayekufanyia hayo hapo juu ni wazi ushamchosha na kukukinai

Umeongea mapoint, sema tatizo hujaingia ndoani, otherwise ningekupa likes za kumwaga
 
Kumbe wanaume tunakumbukwaga siku mojamoja!!!!...
 
Mungu awape maisha marefu wanaume wote duniani...

Wanaume wana roho nzurii jamani....

Nianze na mwanaume mwenye familia yani kaoa...yeye anaenda kazini anamwacha mwanamke amelala anachomeka na jua mwanamke anashinda anaangalia season, mwanaume akirudi hela ni za familia sio zake tena...

...Ukipanda kwenye daladala ukikosa siti anaweza kukupisha na wewe uketi...
.....Mwanaume ukiwa na shida ukimfuata ni rahisi sana kukusaidia.....
......Mkiwa kwenye hatari hawezi kukimbia akakuacha lazima ahakikishe mnachomoka wote mkiwa salama....
......Wana maneno ya busara kwa mfano mahospital ukikutana na docta wa kiume unaweza ukapona hata kabla hujaanza doz...
.....Vita ikitokea hao ndio wanaokwenda kupigana vita ili familia zao ziwe salama....
....Ukipendeza ni wa kwanza kukupa ukweli (hata kama ni uongo) kwa kweli hawabanii sifa....
....Ukitamani mali yake yoyote ni mfano simu, laptop,saa na vingine vingi ni rahisi kukupa na kukuachia mojakwa...
....Jamani wanaume acheni waitwe wanaume tuu wanatuhifandi sana mjini...wanatufichia aibu mjini kwa kutupa hela zao tunavaa tunapendeza huku hao wakiungua na jua...
....Bado kwa upendo walionao juu yetu sisi wanawake wanatupa kuitwa kwa majina yao bure kabisa.... kwa mfano mimi cute b nitaitwa mrs sumbai (maana ndio heshima ya mwanamke yoyote yule)

WANAUME NI WA KUHESHIMIWA JAMANI NI WATU MUHIMU SANA KWETU SISI WANAWAKE.

EE MUNGU NAKUOMBA UWAPE MAISHA MAREFU WANAUME WOTE DUNIANI.

Wanaume oyeeee.
 
Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao

wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.

Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.

Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.

Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.

Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.

Hapo umeniongelea mimi
 
Mungu akubariki mrembo kwa kutukumbuka wanaume ambao tunasitahili sifa hizo.....wanaume wenye sifa hizo tupo wachache sana.
 
Mungu akubariki mrembo kwa kutukumbuka wanaume ambao tunasitahili sifa hizo.....wanaume wenye sifa hizo tupo wachache sana.
Yani wewe unajidanganya hizi ni sifa? hii ni robbery bila silaha kutumika.
 
Hongera kwa kumpata mwanaume bora.

Wakati unatoa sifa zote hizo kwa mwanaume, kuna wengine wanatamani hata kujitoa uhai kwa ajili ya vituko wanavyofanyiwa na wanaume.
 
Ha ha haa wew hukunishindwa sema hukunipenda...
Mimi nikiwa na mtu hajutii yaani anafanya mambo ya maana sana..muulize hata sumbai hela zake ila alikuwa hajui kuzipangilia nimemfundisha kuzipangilia now utazani baresa mdogo

Naomba kuja attachment/field/internship kwako!??
 
Duu pole sana...
Wanaume sio wachoyo wala bahili ila ni wew hujui jinsi ya kuwachomoa pesa...kumwomba mwanaume pesa awe mchepuko au awe mume wako lazma utumie akili sana... wengi hupenda kuambiwa naomba shiling flan kwa ajili ya kufanyia jambo flan..,ila wengi wetu hupenda kusema tuu "wew nipe hela mimi najua nitafanyia nini"
....mwanaume anakuwa msiri kwako kutokana na wew mwenyewe ulivyo...kwa mfano kuna wanawake wakijua mwanaume kapata hela ataanza ooohh mama yangu anaumwa oooh kuna dera linauzwa mahali badala ya kuwaza hii hela tuanze ujenzi au kufungulia biashara...sasa mwanaume akiona una hizo element hawezi kukushirikisha...
....kuhusu kuchati pia wew unaweza ukawa chanzo cha yeye kutokupenda kuchat na wew...kwa mfano kuna dada mmoja mume wake akijiunga tuu ni kosa kwa nini anajiunga anachat na nani...sasa mwanaume akijua hivyo anafanya kimya kimya usijue...
.....kuhusu kutumia muda mara nyingi kufurahi na marafik tofauti na nyumban kuna sababu... baadhi ya sisi wanawake ni kero sana kwa waume zetu hadi wakiwaza kuja nyumbani wanaumwa kichwa...
Mwanaume ni kama mtoto anahitqji malezi bora mapezi ya ukweli hakika hawezi kukukinai maana mwanaume anayekufanyia hayo hapo juu ni wazi ushamchosha na kukukinai

Nilisoma post ya kwanza ulioiyachia ikanifanya nitafute na nyingine kukusoma psychology yako ww n girl wa dizain gani

Ila kwa hii you seems subconscious mind yako unaifeed mawazo yenye uhaba wa negative idea, vzur

Tafuta kitabu flani hivi kinaitwa "MAWAZO YAKO NDIO MAISHA YAKO" kimeandikwa na 'KENNEDY MLAY'
Kinapatikana sehemu nying hata kwa wauza magazeti na ni bei chee sana buku 5 tu,ila hutaijutia buku 5 yako(ni kidogo kina page kama 70 hv, chache sana)

Am sure kitakuongezea idea za ukweli na kwa jinc nilivyokuview psychology kwa few comment am sure unaenda kuwa girl mmoja hiv amazing na waukweli

Temana na hawo wanaowaza negative/shida na idea za mapicha picha, 90% huwa wanaishia huko huko
Kuchomoka ni hadithi yakufkirka
 
Namwelewa huyo kipaumbele chake cha kwanza
Pesa
Pesa
Pesa.
Hata ufanye wema kiasi gani bila kumpa pesa unajisumbua

Tena bila pesa hata orgasm sipati hata ukeshe, yaani cha kwanza pesa,cha pili pesa,cha tatu pesa, cha nne pesaaaaaa.......

Sasa nikusifie hivi hivi wakati hujanipa pesa!! Nakusifia kwa lipi kwamfano?
 
Mungu awape maisha marefu wanaume wote duniani...

Wanaume wana roho nzurii jamani....

Nianze na mwanaume mwenye familia yani kaoa...yeye anaenda kazini anamwacha mwanamke amelala anachomeka na jua mwanamke anashinda anaangalia season, mwanaume akirudi hela ni za familia sio zake tena...

...Ukipanda kwenye daladala ukikosa siti anaweza kukupisha na wewe uketi...
.....Mwanaume ukiwa na shida ukimfuata ni rahisi sana kukusaidia.....
......Mkiwa kwenye hatari hawezi kukimbia akakuacha lazima ahakikishe mnachomoka wote mkiwa salama....
......Wana maneno ya busara kwa mfano mahospital ukikutana na docta wa kiume unaweza ukapona hata kabla hujaanza doz...
.....Vita ikitokea hao ndio wanaokwenda kupigana vita ili familia zao ziwe salama....
....Ukipendeza ni wa kwanza kukupa ukweli (hata kama ni uongo) kwa kweli hawabanii sifa....
....Ukitamani mali yake yoyote ni mfano simu, laptop,saa na vingine vingi ni rahisi kukupa na kukuachia mojakwa...
....Jamani wanaume acheni waitwe wanaume tuu wanatuhifandi sana mjini...wanatufichia aibu mjini kwa kutupa hela zao tunavaa tunapendeza huku hao wakiungua na jua...
....Bado kwa upendo walionao juu yetu sisi wanawake wanatupa kuitwa kwa majina yao bure kabisa.... kwa mfano mimi cute b nitaitwa mrs sumbai (maana ndio heshima ya mwanamke yoyote yule)

WANAUME NI WA KUHESHIMIWA JAMANI NI WATU MUHIMU SANA KWETU SISI WANAWAKE.

EE MUNGU NAKUOMBA UWAPE MAISHA MAREFU WANAUME WOTE DUNIANI.
Ahsante umenifanya nijisikie fahari,eeh muwe mnashukuru siku moja moja kama hivi
 
It's either you had a bang last night, or someone is about to get manipulated today....

Alafu si nimesahau kukusifia mchawi wangu, sijui hata nikusifie kwa lipi!! Ngoja nikumbuke.
 
Alafu si nimesahau kukusifia mchawi wangu, sijui hata nikusifie kwa lipi!! Ngoja nikumbuke.
We sifia tu lakini pesa hupati....hahaha! Si unajua origin yangu lakini. Mwenzako kasifia kwa vile jana kapewa vitu adimu..
 
Back
Top Bottom