Wanaume waheshimiwe milele

Teh teh..Mbali 2015??..Me na espy toka 2000 huko na tumetulia..Ebu msiturushe roho..
Mwaka wa 2000 Kaboom ulikuwa umeshazaliwa kweli? Hahahahaha eti mmetulia[emoji23][emoji23][emoji23] .
Sisi Mapenzi yetu bado mabichii ndiyo kwanza tumiaka tuwili tuu. Yakishazeeka kama yenu tutaacha.
Upo kweli shemeji?
 
Wanaume wenye sifa hizo tu ndio wabarikiwe, lakini haya makanjanja matapeli, majizi nyota, YAFE MILELE WALAHI
Hahahahaha. Makanjanja[emoji23][emoji23]
 
Amiin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…