Wanaume waheshimiwe milele

Hahahahaha. Makanjanja[emoji23][emoji23]
Yaani kuna madume ovyo kweli walahi
Mimi huwa sijali hata kama mwanaume ni house dady au hana uwezo kama mwanamke Maana nyakati zimebadilika na hakuna tena mwanamke anaye taka kukaa nyumbani bila kuleta kipato kwenye familia walahi
KWA KWELI WANAWAKE NI WATU WENYE HEKIMA NA BUSARA NYINGI WALAHI
 
Mweh siku yangu itaenda vizuri leo maana at least nimekutana na uzi wa faraja kidogo.

Amen kwa uliyosema dadaa!
 
Wanaume wachache sana wanastail hiyo pongezi kati ya 10 ni 3 tu mengine....mengine magole tu
 
Hahahahaha.
Tena siku hizi tuna vipato kuliko wao.
 
Hivi wewe ni jinsia gani? Maana hizi walahi utadhani unaukatikia huno mshipi.
 
Amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…