- Thread starter
- #421
Hahahahaha utani wa ngumi huo[emoji23][emoji23][emoji23]Hope wanaume wa dar hawapo kwny hii list
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha utani wa ngumi huo[emoji23][emoji23][emoji23]Hope wanaume wa dar hawapo kwny hii list
[emoji120][emoji120]Hahahah….
Ila tumshukuru kwa wishes zake kwetu. Asasa Mrs Cute B
Yaani kuna madume ovyo kweli walahiHahahahaha. Makanjanja[emoji23][emoji23]
Hahahahaha.Yaani kuna madume ovyo kweli walahi
Mimi huwa sijali hata kama mwanaume ni house dady au hana uwezo kama mwanamke Maana nyakati zimebadilika na hakuna tena mwanamke anaye taka kukaa nyumbani bila kuleta kipato kwenye familia walahi
KWA KWELI WANAWAKE NI WATU WENYE HEKIMA NA BUSARA NYINGI WALAHI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wachache sana wanastail hiyo pongezi kati ya 10 ni 3 tu mengine....mengine magole tu
Hivi wewe ni jinsia gani? Maana hizi walahi utadhani unaukatikia huno mshipi.Yaani kuna madume ovyo kweli walahi
Mimi huwa sijali hata kama mwanaume ni house dady au hana uwezo kama mwanamke Maana nyakati zimebadilika na hakuna tena mwanamke anaye taka kukaa nyumbani bila kuleta kipato kwenye familia walahi
KWA KWELI WANAWAKE NI WATU WENYE HEKIMA NA BUSARA NYINGI WALAHI
Hivi mnadhani hizi ni sifa kweli au ni ujinga tu? halafu wao pesa zao wanakwenda kuwekeza kwao.
Hahahahaha mkuu hamna bhana.Ukute hapo kuna mmoja wetu ameshalainishwa na maneno haya....na yaliandikwa purposely kwa ajili yake.
Tunamalizwa kimya kimya!
Hahahahaha mkuu hamna bhana.
Haikuwa na Target yoyote.
I hope hakuna aliyekusudiwa!!
Na iwe hivyo.
Amen.Mungu awape maisha marefu wanaume wote duniani...
Wanaume wana roho nzurii jamani....
Nianze na mwanaume mwenye familia yani kaoa...yeye anaenda kazini anamwacha mwanamke amelala anachomeka na jua mwanamke anashinda anaangalia season, mwanaume akirudi hela ni za familia sio zake tena...
...Ukipanda kwenye daladala ukikosa siti anaweza kukupisha na wewe uketi...
.....Mwanaume ukiwa na shida ukimfuata ni rahisi sana kukusaidia.....
......Mkiwa kwenye hatari hawezi kukimbia akakuacha lazima ahakikishe mnachomoka wote mkiwa salama....
......Wana maneno ya busara kwa mfano mahospital ukikutana na docta wa kiume unaweza ukapona hata kabla hujaanza doz...
.....Vita ikitokea hao ndio wanaokwenda kupigana vita ili familia zao ziwe salama....
....Ukipendeza ni wa kwanza kukupa ukweli (hata kama ni uongo) kwa kweli hawabanii sifa....
....Ukitamani mali yake yoyote ni mfano simu, laptop,saa na vingine vingi ni rahisi kukupa na kukuachia mojakwa...
....Jamani wanaume acheni waitwe wanaume tuu wanatuhifandi sana mjini...wanatufichia aibu mjini kwa kutupa hela zao tunavaa tunapendeza huku hao wakiungua na jua...
....Bado kwa upendo walionao juu yetu sisi wanawake wanatupa kuitwa kwa majina yao bure kabisa.... kwa mfano mimi cute b nitaitwa mrs sumbai (maana ndio heshima ya mwanamke yoyote yule)
WANAUME NI WA KUHESHIMIWA JAMANI NI WATU MUHIMU SANA KWETU SISI WANAWAKE.
EE MUNGU NAKUOMBA UWAPE MAISHA MAREFU WANAUME WOTE DUNIANI.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hahahahaha utani wa ngumi huo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkifika Afghanistan mshuke kutusalimia.
Hongereni saanaTeh teh..Mbali 2015??..Me na espy toka 2000 huko na tumetulia..Ebu msiturushe roho..