Wanaume waheshimiwe milele


unaonekana mzoefu sana wa kuwachomoa, ndo maana nilikushindwa we mwanamke
 
We mtata sana..Mdogo wako kashanipa sifa..We endelea kubana

Ha haa haa dada yangu hatoi maana akisifia kidogo mnazani ni kizinga... kaamua kuwa bandidu moja kwa moja
 
Walianza kukubeza ila kwa hili unajua unachokiandika. Uko sahihi maana katika maisha au hata sex dereva ni mwanamke. Mwanamke akiwa dereva mzuri na gari linakwenda kwa salama
 
navyoipenda pesa sijui aliyeniloga nani? ila namshukuru mchawi wangu loh

Usisahau kuwashukuru wanaume wanaofanya M city unapaona kama kariakoo...
Ha ha haaa kama sio hao kuna watu mliman city tungekuwa tunaenda kula ice cream tuu
 
Dear ladies

If your tired of us when we staring at your boobs just turn around



We like asses too😉😉
 
unaonekana mzoefu sana wa kuwachomoa, ndo maana nilikushindwa we mwanamke

Ha ha haa wew hukunishindwa sema hukunipenda...
Mimi nikiwa na mtu hajutii yaani anafanya mambo ya maana sana..muulize hata sumbai hela zake ila alikuwa hajui kuzipangilia nimemfundisha kuzipangilia now utazani baresa mdogo
 
Last edited by a moderator:
Walianza kukubeza ila kwa hili unajua unachokiandika. Uko sahihi maana katika maisha au hata sex dereva ni mwanamke. Mwanamke akiwa dereva mzuri na gari linakwenda kwa salama

Asante sana ndugu...
 
Mmoja kwa laki moja,ahsante xn aisee
 
Dear ladies

If your tired of us when we staring at your boobs just turn around



We like asses too😉😉

Uwiiiiiiiiii umesemaaaa? Naomba uwe ni msemo tuu ipa sio mmaanisho
 
Ngoja kwanza nitafute alichoandika dada yangu atoto kwenye uzi huu ndo akili inikae sawa

Halafu mbona cute b hujatumention? hiyo tabia umeianza lini, au ndo shem sumbai mzee wa hisa kakutaiti
 
Last edited by a moderator:
Ngoja kwanza nitafute alichoandika dada yangu atoto kwenye uzi huu ndo akili inikae sawa

Halafu mbona cute b hujatumention? hiyo tabia umeianza lini, au ndo shem sumbai mzee wa hisa kakutaiti

Mie nilikuwa nakusubiri uje my lovely kaka nikupe sifa zako, siwezi kupoteza sifa zangu aisee, kuna ambao hawazistahili kabisaaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja kwanza nitafute alichoandika dada yangu atoto kwenye uzi huu ndo akili inikae sawa

Halafu mbona cute b hujatumention? hiyo tabia umeianza lini, au ndo shem sumbai mzee wa hisa kakutaiti

Jamani swahiba wangu nisamehe nimesahau kuwaitaa...
Heshima kwenu aisee nyie ni watu muhimu sana jamani..
Na wewe Mungu akuzidishie umri mara dufu.
Alichokiandika atoto ukikisoma lazma usinyae hahaha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…