Wanaume waheshimiwe milele


Inawezekana mwenywe hujitambui na nimzigo Kwa jamaa ndo maana hakushirikishi mambo yake wewe cyo mwanamke mwenye changamoto zoba
 

Umeongea mapoint, sema tatizo hujaingia ndoani, otherwise ningekupa likes za kumwaga
 
Kumbe wanaume tunakumbukwaga siku mojamoja!!!!...
 
Mie nilikuwa nakusubiri uje my lovely kaka nikupe sifa zako, siwezi kupoteza sifa zangu aisee, kuna ambao hawazistahili kabisaaaa!!

Mmh haya sisteri
 

Wanaume oyeeee.
 

Hapo umeniongelea mimi
 
Mungu akubariki mrembo kwa kutukumbuka wanaume ambao tunasitahili sifa hizo.....wanaume wenye sifa hizo tupo wachache sana.
 
Mungu akubariki mrembo kwa kutukumbuka wanaume ambao tunasitahili sifa hizo.....wanaume wenye sifa hizo tupo wachache sana.
Yani wewe unajidanganya hizi ni sifa? hii ni robbery bila silaha kutumika.
 
Hongera kwa kumpata mwanaume bora.

Wakati unatoa sifa zote hizo kwa mwanaume, kuna wengine wanatamani hata kujitoa uhai kwa ajili ya vituko wanavyofanyiwa na wanaume.
 
Ha ha haa wew hukunishindwa sema hukunipenda...
Mimi nikiwa na mtu hajutii yaani anafanya mambo ya maana sana..muulize hata sumbai hela zake ila alikuwa hajui kuzipangilia nimemfundisha kuzipangilia now utazani baresa mdogo

Naomba kuja attachment/field/internship kwako!??
 

Nilisoma post ya kwanza ulioiyachia ikanifanya nitafute na nyingine kukusoma psychology yako ww n girl wa dizain gani

Ila kwa hii you seems subconscious mind yako unaifeed mawazo yenye uhaba wa negative idea, vzur

Tafuta kitabu flani hivi kinaitwa "MAWAZO YAKO NDIO MAISHA YAKO" kimeandikwa na 'KENNEDY MLAY'
Kinapatikana sehemu nying hata kwa wauza magazeti na ni bei chee sana buku 5 tu,ila hutaijutia buku 5 yako(ni kidogo kina page kama 70 hv, chache sana)

Am sure kitakuongezea idea za ukweli na kwa jinc nilivyokuview psychology kwa few comment am sure unaenda kuwa girl mmoja hiv amazing na waukweli

Temana na hawo wanaowaza negative/shida na idea za mapicha picha, 90% huwa wanaishia huko huko
Kuchomoka ni hadithi yakufkirka
 
Namwelewa huyo kipaumbele chake cha kwanza
Pesa
Pesa
Pesa.
Hata ufanye wema kiasi gani bila kumpa pesa unajisumbua

Tena bila pesa hata orgasm sipati hata ukeshe, yaani cha kwanza pesa,cha pili pesa,cha tatu pesa, cha nne pesaaaaaa.......

Sasa nikusifie hivi hivi wakati hujanipa pesa!! Nakusifia kwa lipi kwamfano?
 
Ahsante umenifanya nijisikie fahari,eeh muwe mnashukuru siku moja moja kama hivi
 
Ukweli mtupu ulioandika hapo juu
kula gwala la nguvu...kudos
 
It's either you had a bang last night, or someone is about to get manipulated today....

Alafu si nimesahau kukusifia mchawi wangu, sijui hata nikusifie kwa lipi!! Ngoja nikumbuke.
 
Alafu si nimesahau kukusifia mchawi wangu, sijui hata nikusifie kwa lipi!! Ngoja nikumbuke.
We sifia tu lakini pesa hupati....hahaha! Si unajua origin yangu lakini. Mwenzako kasifia kwa vile jana kapewa vitu adimu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…