Wanaume waheshimiwe milele

wanawake wote wangekuwa na akili kama za kwako neno WANAWAKE NI WAUAJI lisingekuwepo.

Hakuna kitu kama hicho.Ubaya wa mtu hauna jinsia.Mwanamke mmoja akiwa mmbaya haina maana wote wapo ivo.
 
Weita ebu msikilize huyu dada anatumia kinywaji gani kanifurahisha sana leo
 

Yaani 100%unachokiongea ni sahihi kwa wanaume woteeee ubarikiwe kwa ujumbe .usikute msifiaji ni mchepuko
 
Umeongea ukweli..... Ukweli wa maisha yangu... Ukweli hasa.. Umeingia moyoni na kuthibitishwa kuwa ni kweli.. Asante sana.....
 
Hizi kampeni za white hair...zimenikosesha uhondo.....

Thankyuu babygirl...
 
Acha tushukuru maana hakuna namna huwa hizi pongezi haziji kwa urahisi namna hii....
 
Mie na wapendwa hawa viumbe kwa Lao moja tuu. Utu wao yaani U U M E. Wakinitwanga mie burdaanii
Kasie
 
Loh, kwa mara ya kwanza. Nimekupenda bure cutee.

NiPM contact nikutumie kazawadi mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…