Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

wanawake wote wangekuwa na akili kama za kwako neno WANAWAKE NI WAUAJI lisingekuwepo.

Hakuna kitu kama hicho.Ubaya wa mtu hauna jinsia.Mwanamke mmoja akiwa mmbaya haina maana wote wapo ivo.
 
Weita ebu msikilize huyu dada anatumia kinywaji gani kanifurahisha sana leo
 
Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao

wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.

Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.

Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.

Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.

Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.

Yaani 100%unachokiongea ni sahihi kwa wanaume woteeee ubarikiwe kwa ujumbe .usikute msifiaji ni mchepuko
 

Attachments

  • 1444659136192.jpg
    1444659136192.jpg
    30.4 KB · Views: 170
Umeongea ukweli..... Ukweli wa maisha yangu... Ukweli hasa.. Umeingia moyoni na kuthibitishwa kuwa ni kweli.. Asante sana.....
 
Hizi kampeni za white hair...zimenikosesha uhondo.....

Thankyuu babygirl...
 
Acha tushukuru maana hakuna namna huwa hizi pongezi haziji kwa urahisi namna hii....
 
Mie na wapendwa hawa viumbe kwa Lao moja tuu. Utu wao yaani U U M E. Wakinitwanga mie burdaanii
Kasie
 
Loh, kwa mara ya kwanza. Nimekupenda bure cutee.

NiPM contact nikutumie kazawadi mama
 
Back
Top Bottom