HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,204
Naona kama you had a really good sex last night......
thanks to him umeamka unatuona wote 'supermen'
Hahahaaa!
Jaman hebu Jiaminini basi!
Mmesifiwa Kiroho safiiiiiii!
Hahahaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama you had a really good sex last night......
thanks to him umeamka unatuona wote 'supermen'
wanawake wote wangekuwa na akili kama za kwako neno WANAWAKE NI WAUAJI lisingekuwepo.
Tena ikiwezekana wapate kazi tatu tatu, ili wapate pesa nyingi zaidi.
mtu na mdogo wakehivi wewe atoto na miss chagga ni mtu na mdogo wake au ndugu?
Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao
wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.
Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.
Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.
Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.
Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.
Naona kama you had a really good sex last night......
thanks to him umeamka unatuona wote 'supermen'
tena maajabu makubwa mno....wabarikiwe tena na tenaAimeeeeeen, kwa hili aisee wazidishiwe ziwe nyingiii maana pesa zao tamu sana na zinafanya maajabu.
waulize wanawake wa mbagala na gongo la mboto wakati wa milipuko ya mabomu WALIVYOKIMBIWA NA WAUME ZAO......Mkiwa kwenye hatari hawezi kukimbia akakuacha lazima ahakikishe mnachomoka wote mkiwa salama....
Hivi mnadhani hizi ni sifa kweli au ni ujinga tu? halafu wao pesa zao wanakwenda kuwekeza kwao.
Amen(tumekumbukwa leo)
Kuna baadhi ya sifa ulizotaja sio za wanaume wa dar hasa hapo ulipogusia "hatari"