Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

Hahaaa sikupi zote aisee, nilikubamba mahali unahojia ukasema bado uko kwenye mahusiano ya boyfriend na gelofriend, so bado huna experience ya kutosha khs mahusiano ya mume na mke. Hata dadaangu atoto hana, sema kwa ubishi sasa!! mpaka natamani nimgawe loh!!!

Kumbe umepita kule eeh... karibu sana mito leo tunaendelea
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa sikupi zote aisee, nilikubamba mahali unahojia ukasema bado uko kwenye mahusiano ya boyfriend na gelofriend, so bado huna experience ya kutosha khs mahusiano ya mume na mke. Hata dadaangu atoto hana, sema kwa ubishi sasa!! mpaka natamani nimgawe loh!!!

Nigawie mm
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu anapambwa apigwe mzinga.

Hahahaa pia ninajua mbinu za kuomba hela ila sio kwa stail hii mkuu...
Ningemtafuta nimsifie yeye tuu..kama kwa kusifiwa naweza pata kizinga..
 
Hahahaa pia ninajua mbinu za kuomba hela ila sio kwa stail hii mkuu...
Ningemtafuta nimsifie yeye tuu..kama kwa kusifiwa naweza pata kizinga..


Who's that superman who turned you that way?
 
Hahaaa sikupi zote aisee, nilikubamba mahali unahojia ukasema bado uko kwenye mahusiano ya boyfriend na gelofriend, so bado huna experience ya kutosha khs mahusiano ya mume na mke. Hata dadaangu atoto hana, sema kwa ubishi sasa!! mpaka natamani nimgawe loh!!!
Eli79 huyo kaniambukiza, aaaah kaka mito jamani mie tena umesahau nina experience ya kutosha? Nishaolewa sana yaani.
 
Last edited by a moderator:
Eli79 huyo kaniambukiza, aaaah kaka mito jamani mie tena umesahau nina experience ya kutosha? Nishaolewa sana yaani.
Kiongozi mito hakika umesema kweli kabisa. Siwezi kuongeza zaidi... atoto ni mbishi funga kazi!!! Lakini pia experience ya bf/gf ni tofauti sana na ndoa!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom