- Thread starter
- #141
Naomba kuja attachment/field/internship kwako!??
Ha ha haa kama ni field karibu sana
Mwezi mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kuja attachment/field/internship kwako!??
Itakuwa natafuta bwana...
Aisee,hizo sifa zinatoka moyoni kwako kweli? Kama Ndio basi Barikiwa.
Hahaaa sikupi zote aisee, nilikubamba mahali unahojia ukasema bado uko kwenye mahusiano ya boyfriend na gelofriend, so bado huna experience ya kutosha khs mahusiano ya mume na mke. Hata dadaangu atoto hana, sema kwa ubishi sasa!! mpaka natamani nimgawe loh!!!
Hahaaa sikupi zote aisee, nilikubamba mahali unahojia ukasema bado uko kwenye mahusiano ya boyfriend na gelofriend, so bado huna experience ya kutosha khs mahusiano ya mume na mke. Hata dadaangu atoto hana, sema kwa ubishi sasa!! mpaka natamani nimgawe loh!!!
Itakuwa unatafuta mume.
Hahahaaa shost hapo kwenye pesa unavyopapenda yewomiiiiiiii
Kuna mtu anapambwa apigwe mzinga.
Hahahaa pia ninajua mbinu za kuomba hela ila sio kwa stail hii mkuu...
Ningemtafuta nimsifie yeye tuu..kama kwa kusifiwa naweza pata kizinga..
Who's that superman who turned you that way?
Eli79 huyo kaniambukiza, aaaah kaka mito jamani mie tena umesahau nina experience ya kutosha? Nishaolewa sana yaani.Hahaaa sikupi zote aisee, nilikubamba mahali unahojia ukasema bado uko kwenye mahusiano ya boyfriend na gelofriend, so bado huna experience ya kutosha khs mahusiano ya mume na mke. Hata dadaangu atoto hana, sema kwa ubishi sasa!! mpaka natamani nimgawe loh!!!
Nigawie mm