Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

Omg am finnaly fallen in love with you're IQ ____________ Could you be mine ???:busu
 
hizi sifa ulizoandika kuhusu sisi.

Hizo ni sifa zenu wanaume...
Unakumbuka ile siku tupo kwa lowasa mvua ikanyesha ukanipa koti lako ukabaki unanyeshewa wew?...
 
Hizo ni sifa zenu wanaume...
Unakumbuka ile siku tupo kwa lowasa mvua ikanyesha ukanipa koti lako ukabaki unanyeshewa wew?...
nakumbuka siweze sahau. ni ukarimu wetu sisi wanaume. hizo sifa ni zetu kabisa hakika
 
Duh wewe siku hizi wote tunakimbizana na maisha ,hivi mpaka leo wapo wanaoachwa kitandani wamelala?

Ila kiukweli wana roho nzuri na walio na hekima ukimweleza kashida ili akupe ushauri ,kweli siri yako wanajua kutunza ,

Lakini wengine wana roho ngumu ndo wale wanaotwanga wake zao mangumi ..utadhani wanapigana na floyd mayweather
 
Duh wewe siku hizi wote tunakimbizana na maisha ,hivi mpaka leo wapo wanaoachwa kitandani wamelala?

Ila kiukweli wana roho nzuri na walio na hekima ukimweleza kashida ili akupe ushauri ,kweli siri yako wanajua kutunza ,

Lakini wengine wana roho ngumu ndo wale wanaotwanga wake zao mangumi ..utadhani wanapigana na floyd mayweather

Wapo wengi tuu wanaachwa wamelala maana hamna ajira ndio mume akapambane huko ampatie kamtajii
 
Back
Top Bottom