Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umeniongelea mimi
Huwa nakukubali ile mbaya, i wish one day nikuone live, nilinganishe post zako na appearance yako
well said girl, wanawake wachache wanalijua hilo..hongera sana.
Omg am finnaly fallen in love with you're IQ ____________ Could you be mine ???:busu
Teh teh teh........ hizo ni sifa za g/friend au mchepuko lkn sio wife.
Safi sana mtoa mada,endelea kuagiza kinywaji,payment kwangu.
Cute b upo vzr sana...una umri gani?
Mbona umemalizia kwa kucheka?
hizi sifa ulizoandika kuhusu sisi.
nakumbuka siweze sahau. ni ukarimu wetu sisi wanaume. hizo sifa ni zetu kabisa hakikaHizo ni sifa zenu wanaume...
Unakumbuka ile siku tupo kwa lowasa mvua ikanyesha ukanipa koti lako ukabaki unanyeshewa wew?...
Unaposema "Season" unamaanisha "series" au majira ya mwaka??? Im confused.
Duh wewe siku hizi wote tunakimbizana na maisha ,hivi mpaka leo wapo wanaoachwa kitandani wamelala?
Ila kiukweli wana roho nzuri na walio na hekima ukimweleza kashida ili akupe ushauri ,kweli siri yako wanajua kutunza ,
Lakini wengine wana roho ngumu ndo wale wanaotwanga wake zao mangumi ..utadhani wanapigana na floyd mayweather