Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Yule Mchepuko uliweza kumroga kisawasawa wakati ulipokuwa unatafuta mganga konki?

Sijui utaroga wangapi maana akiachana na huyo huenda akaanzisha mahusiano mengine,

Naona umechoka sasa unataka umroge yeye mwenyewe!

Kuroga ni kuroga hakuna kwa wema ili atulie wala nini!

Halahala Mtoto wa mwenzio usijemuua!
 
Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.

.
😅😅😅
 

Attachments

  • Makombora.mp4
    1.6 MB
Kama unampenda kwa dhati usingefikiria kumroga mtoto wa watu!
 
Sifa za upendo;

Huvumilia yote

Hauhesabu mabaya

Huamini yote

Haujivungi,

Haukosi kuwa na adabu
 
Mimi nafikiri hiyo dawa kama isingekuwa inamfanya Mwanamme kuwa ndondocha,hiyo ni dawa nzuri sana! Ingefanya ndoa zetu zidumu.
Mimi ningependekeza hata Serikali iitambue na itumike katika jitihada zake za kupambana na Ukimwi!
Ni hayo tu Mkuu.
 
Kujichomoa haitakuwa rahisi na atalipa gharama kubwa pindi atakapotaka kufanya u turn ya kumgeuka shetani maana ameishaingia mkatab nae, na ninavyojua damu imemwagika inaweza kuwa ya kuku, njiwa au mbuzi.

Huyo mwanaume hata utafutaji wake wa hela utapungua sana kama sio kukoma kabisa, pia atakuwa anaishi na ndondocha na sio mume hivyo ile tabia, guidance , misimamo ambayo iko embedded na kaliba ya uanamume haitakuwepo kwa,mumewe na itakuwa kama wanaishi wanawake wawili . Hivyo itabidi mdada aplay part ya mume; eventually huyo dada atafeel gap ya kutokuwa,na mume atalazimika kutoka nje ili kutafuta mtu wa kuziba pengo.

Watoto watakosa balansi ya baba halisi na mama halisi hivyo wataathirika kimalezi.

Alll in all huyo dada atajuta sana baadae.
 
Hatimae umempata yule mganga nkoki uliekua unamtafut..
 
Karma
 
Umegongwa na waume za watu weeeeee, umempata wa kwako hutaki wenzio nao wagongwe nae kabla hawajawapata wa kwao, sio!

BTW kama umenyang'anya mume wa mwanamke mwenzio ukamfanya wa kwako havina muda vinakurudia
 
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aah bana wanachosha bora tukose wote sio kushare kila siku ugomvi amani itawale kwa sasa tuangalie mambo mengine pia
Kwa kweli, uko sahihi.
Lazima zipu zifungwe kwa lazima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
muda huu wa jioni lijamaa liko sehemu. Limekula nazi na energy drink, kapaka na wiks anasubiri kabinti akachakate.
Akati asharogwaaa, ataanzia wapii??
Ashafanywa ndondochaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muache umalayaa, hutoona unarogwaa, ila km zipu mda wote iko wazi utarogwa tyuuh hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…