Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

ngoja niandike kwa herufi kubwa HIYO NDOA INAENDA KUFA HATA UMUUE MAMA YAKO HAKUNA NDOA TENA HAPO... JIANDAE KUITWA SINGLE MOTHER SOON... Ushirikina ni kiwango cha mwisho cha upumbav

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ndoa ipo sana hapa no kuachana
Kama wewe unaamini haipo ni wewe tu,wanaume wengi wanatengenezwa vizuri na wanatulia mimi sio wa kwanza
 
Chaguo ni mbili tu....kuvumilia tabia zake au kumuacha aende.

Kwanini uhangaike kumroga mtu mzima? Kama alikupenda wewe akakuoa hivyo hivyo anawapenda wengine.

Unaweza kufanikiwa kumfanya ndondocha ila athari zikawa kubwa kuliko ungeishi nae hivyo hivyo au kumuacha aende zake.

Wakati mwingine tujifunze mapenzi Huwa yanaisha.
 
Tupe namba ya huyo mganga na anapoishi
 

Sijamdhuru mtu nimemtuliza kunipenda ananipenda sana ila hana utulivu
Hata Mungu ananielewa sijamdhuru nataka utulivu tu sina nia ya kumgombanisha na nduguze au lingine lolote
 
Kama zizi la ngo’mbe majike 20 linahitaji dume moja je wewe ni nani????
 


Unakuja kutamba kwa kumfanya msukule mtoto wa mwanamke mwenzako??-- kumbuka huyo anao Wazazi na ndugu zake kama wewe ulivyokuwa nao, nduguze hawajaliona hilo??!
 
Kama hupendwi hupendwi tu, inaonekana uliolewa kwa kumroga huyo jamaa... Madawa ya uchawi yameisha akagundua huna maajabu... Sasa unamroga tena...
Ndiyo maana mna uwawa ktk ndoa halafu mnakuja kusema wanaume wabaya...
 
Unakuja kutamba kwa kumfanya msukule mtoto wa mwanamke mwenzako??-- kumbuka huyo anao Wazazi na ndugu zake kama wewe ulivyokuwa nao, nduguze hawajaliona hilo??!

Yani sina mpango wa kumgombanisha na nduguze kwaio hawawezi kujua
Mimi lengo langu ni utulivu tu sio kumbully hapana
Nampenda sana siwezi kumtesa kwa style hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…