Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Tamaa, vishawishi ni mimba zinazotungishwa na nyege. Ukiona unamtazama mwanamke unamtamani ujue nyege zishafanya yake.Sio kweli ila ni tamaa na vishawishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamaa, vishawishi ni mimba zinazotungishwa na nyege. Ukiona unamtazama mwanamke unamtamani ujue nyege zishafanya yake.Sio kweli ila ni tamaa na vishawishi
Namuombea msamaha mchumba in advance incase tukio likitokeaHilo nalijua wanaume wote mnacheat😎
Msamaha umepokelewa nauhifadhi..!Namuombea msamaha mchumba in advance incase tukio likitokea
Tayari nishasoma, ulitaka kusemaje?
Nimeshamfumania na mishangazi 3 wakifika 20 namuacha😎Awe huru SASA
Acheat Kwa afyaa
Tofauti ni ipiMnachanganya kusaliti na kuchepuka.
Aisee.! Kwaiyo tukate mikulundika tubaki na pumbu tu ndani ya boksa?Uwezo wa kudhibiti nyege kabla ya ndoa upo. Yesu alishauri kuwa ikiwa jicho lako ndio kushawishi kwa wewe kufanya zinaa basi litoboe.
Wewe unasemajeAisee.! Kwaiyo tukate mikulundika tubaki na pumbu tu ndani ya boksa?
Nataka kujua chaguo lako litakuwa lipi kati ya hayo mawiliTayari nishasoma, ulitaka kusemaje?
Mwanamke akinicheat nampiga chini kwangu ilo kosa halina msamaha, hata yeye pia akijua nimemcheat achague kunipiga chini au kunisamehe maisha yaendelee akiamua kulipiza kisasi ilo ni kosa tofauti kwaiyo nikigundua nampiga chini vile vileNataka kujua chaguo lako litakuwa lipi kati ya hayo mawili
Na ukimpiga chini baki kuwa single daddy milele 😂Mwanamke akinicheat nampiga chini kwangu ilo kosa halina msamaha, hata yeye pia akijua nimemcheat achague kunipiga chini au kunisamehe maisha yaendelee akiamua kulipiza kisasi ilo ni kosa tofauti kwaiyo nikigundua nampiga chini vile vile
Kwa kweliHata Potofa hakuwahi kubaini kuwa mkewe anamfukuzia yule dogo Yusufu. Wanawake ni wasiri mno.
Hahahaha😂😂😂😂Nimeshamfumania na mishangazi 3 wakifika 20 namuacha😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajua hujui.Sikuwah kujua kuwa cheating ni mashindano yan ukicheat na mkeo ana cheat ili a equalize scoreboard..aisee
Una uhakika Eng? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo sio third law of Newton kwamba in each action there is equal and opposite reaction, no never...
Wakwangu hacheat wala haliwi
Wapoo!! Usijumuishee hapa.Utaacha wangapi? Hamna mwanaume asiye cheat ujue.
Kwan wee huwa una cheat na nani?uuuwiii kumbe uwiano ni 1:1
Basi tuache kucheat aisee nlijua wanawake wapo nyuma sana kwenye kucheat.. Basi ni dhahiri wanawake wanacheat kwa usiri wa hali ya juu sana. Wanawake wabaya sana
1000%Una uhakika Eng? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawapo. Ni vile engineer hujamshtukia Mr Right wako.Wapoo!! Usijumuishee hapa.