Wanaume wakiacha usaliti kwenye mahusiano, wanawake pia wataacha

Wanaume wakiacha usaliti kwenye mahusiano, wanawake pia wataacha

Tuanze hii mada kwa kutafuta majibu ya haya maswali matatu

●Kwa nini wanawake wanashindwa kuwapiga chini wanaume wasaliti kama wanaume wengi wanavyofanya kwa wanawake wasaliti?

●Kwa nini kisasi cha mwanamke aliyesalitiwa ni kugawa mbunye kwa wanaume wengine?

●Kwa nini kisasi cha mwanaume aliyesalitiwa sio kutafuta mwanamke mwngine bali ni kumwacha mwanamke msaliti?

Naomba majibu ya hayo maswali matatu halafu ndio tuanze mjadala
 
●Kwa nini wanawake wanashindwa kuwapiga chini wanaume wasaliti kama wanaume wengi wanavyofanya kwa wanawake wasaliti?
Baadhi ya wanawake ni waoga hivyo hupotezea wsnaposalitiwa.

Lakini wapo pia majasiri wasiopenda unyonge yaani ukimsaliti tu anakupiga chini.

●Kwa nini kisasi cha mwanamke aliyesalitiwa ni kugawa mbunye kwa wanaume wengine?
Ni hasira tu na kuponya machungu ndio huwafanya(baadhi yao) wafanye hivyo.
●Kwa nini kisasi cha mwanaume aliyesalitiwa sio kutafuta mwanamke mwngine bali ni kumwacha mwanamke msaliti?
Kumwacha mwanamke ni uamuzi tu na kumsamehe ni uamuzi pia, maamuzi hutegemea na moyo wa mwanaume ulivyo, kwa mfano Masanja mkandamizaji moyo wake haukumkubalia kumpiga chini Monica baada katibu kuingilia ndoa yake,alimsamehe Monica.
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?

Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.

Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.

I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.

If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.

Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.

Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".

Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.

Ukicheat, mkeo naye atacheat.

Ubarikiwe.
😂😂😂Apa unataka kusemaje
 
Back
Top Bottom