Wapooo!!! Usijumuishe hapa.Hawapo. Ni vile engineer hujamshtukia Mr Right wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan utajua sasa? Wee tulia.1000%
Akiguswq takufa Kwa pressure
Baadhi ya wanawake ni waoga hivyo hupotezea wsnaposalitiwa.βKwa nini wanawake wanashindwa kuwapiga chini wanaume wasaliti kama wanaume wengi wanavyofanya kwa wanawake wasaliti?
Ni hasira tu na kuponya machungu ndio huwafanya(baadhi yao) wafanye hivyo.βKwa nini kisasi cha mwanamke aliyesalitiwa ni kugawa mbunye kwa wanaume wengine?
Kumwacha mwanamke ni uamuzi tu na kumsamehe ni uamuzi pia, maamuzi hutegemea na moyo wa mwanaume ulivyo, kwa mfano Masanja mkandamizaji moyo wake haukumkubalia kumpiga chini Monica baada katibu kuingilia ndoa yake,alimsamehe Monica.βKwa nini kisasi cha mwanaume aliyesalitiwa sio kutafuta mwanamke mwngine bali ni kumwacha mwanamke msaliti?
Na mwanamkeππ± duh hatari kwa kweli kazi ipoKwan wee huwa una cheat na nani?
Usiseme hivyo. Utaniua...Unagongewa sana tuπ
kwa hiyo wanapiga nyeto na kubandua wadangaji,,,,,,hiyo sio akili kubwa.......Ndio maana watu wengi wenye akili kubwa hawakuwahi kuoa.
View attachment 2966027
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuuHivi kwani lazima mpendane?? Si kila mmoja afanye linalompa furaha ebooh!!
Sasa cha ajabu nn hapo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mwanamkeππ± duh hatari kwa kweli kazi ipo
Wanawake Kwa wanawake mnakulanaje??Sasa cha ajabu nn hapo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Engineer Cocastic msinitishe.[emoji23][emoji23][emoji23] bado sanaa Eng, narudia tena wee tulia.
π€£π€£π€£π€£ mnapendana vitu gani bana kila mtu yuko busy kukimbiza muda uliobaki wa kuishi duniani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu
Kama wewe unaweza kucheat, yeye anashindwa nini?Usiseme hivyo. Utaniua...
Mwanamke hapaswi kucheat! Umeolewa unaanzaje kucheat??Kama wewe unaweza kucheat, yeye anashindwa nini?
Wanabadili radhaMwanamke hapaswi kucheat! Umeolewa unaanzaje kucheat??
πππApa unataka kusemajeHivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?
Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.
Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.
I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.
If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.
Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.
Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".
Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.
Ukicheat, mkeo naye atacheat.
Ubarikiwe.