Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji ni moja ya mahitaji muhimu ya binadamu, kama hewa na chakula. Mbunge anaweza hata kuomba pesa kwenye ofisi za ma Balozi kama serikali imeshindwa kuwapatia maji.Kweli kabisa,Tungemaliza kwanza changamoto za upatikanaji wa maji...ni tatizo kubwa.
Mwanamke mchafu hanyegeshi Mkuu.MZee baba ni noma sana
Haaaaa MK254 ukuje kipande hii unahitajika.Ebu tueleze hizo changamoto za ushagoo mnatatua gani.
Huwezi kupata stimu kama mwanamke ni mchafuWanawake nao wanawalalamikia waume zao kushindwa tendo
Hujapitia JKT.Huwezi kupata stimu kama mwanamke ni mchafu
Hii hatari sana,unatoka umepakwa kinyesi😁Halafu wakenya hawatumii maji maliwatoni. Wao ni toilet paper kwa wachache wenye hela na akili kichwani kwa makabwela.
Jiulize Sasa mke wa kabwela hajaoga siku mbili halafu wakenya wanapenda Sana ku chuma mboga za majani.