Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Mashoga huwa mnamatusi. Nliona uzi flani. Hakuna mwanaume anaweza kuwa na maneno ya hivi akabaki mwanaume. Umeenda kupika?
Kwani midume haipikagi?

Njoo na gia nyingine rafiki hawajiuzi hivyo 😎😎😎
 
Si utaje nawe!!? Mwanzo nilijua me ulivyoanza kuleta kale kastory ka kula vocha nikahisi ke!!!
Sasa nihakikishie best [emoji3]
Mi ni Mwanamume wewe na hizo ishu ilikuwa miaka hiyo unakuwa na multiple IDs kwa ajili ya fujo tu humu maana kipindi hicho JF ilikuwa inaendeshwa virtually πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Okay, sasa yule mzee uliyeenda kuonana nae serena mlikuwaje kuwaje yaani hapo sijaelewa [emoji12]
Yupo humu lakini naona haiingii tena maana JF imekuwa smooth mnoo. Nilikunywa kahawa na deserts tu pale maana alikuwa na kikao na mheshimiwa raisi wa sasa kule Zanzibar, yeye alikuwa na mabodigadi wanne sio mtu wa mchezomchezo aisee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Nia ya kukutana na wewe ilikuwa nini?!! Na alijua km we ni me? Na pm mliwai kutongozana?!!
 
mzabzab rickboy hutaki kuwaona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…