Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Achana na matusi kuna siku nilikuwa Zanzibar sasa kuna member humu alikuwa ni kada wa chama tawala halafu ni mtu mzito sasa siku hiyo nikam PM akaniambia sawa tuonane Serena Hotel Zanzibar na akanitumia na namba yake ya simu. Jioni yake nikampigia Simu ikapokelewa na Bodigadi wake halafu ndio nimefika reception pale Hotel, kumbe yule Member alikuwa na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala kwenye kampuni ya gesi na mafuta huko Arabuni. Na pale Serena Hotel alikuwa na kikao na mmoja ya viongozi wa SMZ nilipochungulia ile sehemu aliokaa kuna mabodigadi wanne wamevaa suti. Aisee niliingia ubaridi na ukizingatia humu nilikuwa namjibu kejeli na maneno yasiyo na busara. Mbona nilitaka kukimbia pale Hotel siku ile 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Hatari sana mkaongea mkayamaliza? 😀😀
 
Kuwa makini na GENTAMYCINE Bahat ukutane nae akiwa amemeza vidonge vyake vya kutuliza akili kutokea Mirembe(Hospital ya Vichaa) Tofaut na Hapo The Rest is History,

Enewei ukimaliza Kutana na Malaika wa Misukosuko
Ewe Mwenyezi Mungu uliyenifanya kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na kunipa huu Utajiri mkubwa wa Shani ( Tunu ) naomba geuza hizi Kashfa zote na Matusi yote dhidi yangu kuwa BARAKA zaidi Kwangu huku ukiendelea Kuwalaani na Kuwaadhibu pakubwa Wapumbavu na Waswahili wanaonichukia kwa Kunichagua GENTAMYCINE kuwa juu yao Kiakili na Kiuwezo wa Uwasilishaji wa Kimvuto.

AMINA.
 
Achana na matusi kuna siku nilikuwa Zanzibar sasa kuna member humu alikuwa ni kada wa chama tawala halafu ni mtu mzito sasa siku hiyo nikam PM akaniambia sawa tuonane Serena Hotel Zanzibar na akanitumia na namba yake ya simu. Jioni yake nikampigia Simu ikapokelewa ni Bodigadi wake halafu ndio nimefika reception pale Hotel, kumbe yule Member alikuwa ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala kwenye kampuni ya gesi na mafuta huko Arabuni. Na pale Serena Hotel alikuwa na kikao na mmoja ya viongozi wa SMZ nilipochungulia ile sehemu aliokaa kuna mabodigadi wanne wamevaa suti. Aisee niliingia ubaridi na ukizingatia humu nilikuwa namjibu kejeli na maneno yasiyo na busara. Mbona nilitaka kukimbia pale Hotel siku ile [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu kwanza wewe ke/me?!! [emoji1787][emoji1787]
 
Kweli asee najua ana discovery 4 noma sana 😎😎😎😎, mganga tajiri huyo waganga wengine wanashindaga tu kwenye vijumba vya udongo 😁😁😁
Hiyo 0km Discovery 4 alikuwa anaipark pale kwake nje Masaki karibu na Petro Brasil halafu anaruka na ungo kwenda zake kilingeni Msata enzi zile. Na ile Range yake ya Burgundy mi nilimkuta nayo Msata kipindi fulani nilikuwa na ishu.

Humu kuna ma-don wa ukweli japo na wa kujifanya wapo kibao 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Ewe Mwenyezi Mungu uliyenifanya kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na kunipa huu Utajiri mkubwa wa Shani ( Tunu ) naomba geuza hizi Kashfa zote na Matusi yote dhidi yangu kuwa BARAKA zaidi Kwangu huku ukiendelea Kuwalaani na Kuwaadhibu pakubwa Wapumbavu na Waswahili wanaonichukia kwa Kunichagua GENTAMYCINE kuwa juu yao Kiakili na Kiuwezo wa Uwasilishaji wa Kimvuto.

AMINA.
Umetisha sana, Mkuu
Nakubali sana ur respond
 
Back
Top Bottom