Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂😂Humu hakuna umatured Wala Nini ni kufurahi tu Kila mtu na character yake userious sometimes haujitajik Kila mahali hongera Kwa kupata mbususu kimasihara 😂😂msakizie na mzabzab hata mbiliUnaachaje kufa kwa mfano!!!
Najisikia raha sana kuwa chizi, it gives me a lot of possibilities and opportunities... hapa tu nimeshapataa macrush zaidi ya kumii natarajia kunyanduana nao kimaskharaa.
Kwa hali hiii nianze kujifanya niko MATURED ati naandika points sijuiiii niniii THUBUTUUUUUUUUUU