Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Picha ya kibamia inapatikana pm
🤣🤣🤣🤣hujawahi kutana na zai wew
1687246521578.jpg
 
Aisee huo ujinga nilikuwa naufanya those days, (Multiple Id's) lakini siku hizi nimeshakuwa matured aisee, halafu na muda huo sina tena [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kipindi hicho mimi nilikuwa najifanya niko MATURED basi nikawa naandika points tu jamiiforums, nanukuu vifungu vya biblia na kuchati kwa staha.

Baadaye nikagundua kumbe nina FAKE MATURITY halafu pia UJINGA NI MTAMU.

Hakuna kitu kinalipa kama kuwa MJINGAAA, ni raha ya ajabuuuuu.
 
Back
Top Bottom