welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Hili nalo mkalitazame kwa karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Inahitaji uwe na akili kweli Yan kunasiku anaamka Yuko vizuri akiongea unajiuliza ni huyu kweli kunasiku 🤣🤣🤣Kazi ngumu sana kubadilika badilika Character humu JF 🤣 🤣 🤣
Picha ya kibamia inapatikana pmTatizo hujaweka picha ya kibamia umetukosea sana🤣🤣🤣🤣
Mimi tu ndio nimebaki kuwa MPUUZI WA JAMIIFORUMS.alafu anajielewa bas tu
Hata wew sio mpuuzi mnaamua kilamtu awe na character yake unaweza ukaja Tena kivingine tukakupa na shikamooMimi tu ndio nimebaki kuwa MPUUZI WA JAMIIFORUMS.
Wengine wote WANAJIELEWA halafu wanamiliki LANDCRUISERS.
Cc: dronedrakeOi mshamba_hachekwi huyu mwanao Ogaranya ana hoja ya msingi sana kubishana na mleta hii thread, nimefanya utafiti mdogo tu nimejiridhisha [emoji28] [emoji28] [emoji28]
achana nao hao mkuu...Oi mshamba_hachekwi huyu mwanao Ogaranya ana hoja ya msingi sana kubishana na mleta hii thread, nimefanya utafiti mdogo tu nimejiridhisha 😅 😅 😅
Aisee huo ujinga nilikuwa naufanya those days, (Multiple Id's) lakini siku hizi nimeshakuwa matured aisee, halafu na muda huo sina tena 😅 😅 😅Hata wew sio mpuuzi mnaamua kilamtu awe na character yake unaweza ukaja Tena kivingine tukakupa na shikamoo
Tufurahi tu maisha mafupi haya
🤣🤣🤣🤣hujawahi kutana na zai wewPicha ya kibamia inapatikana pm
Hujachanika aiseee 🤣🤣🤣🤣achana nao hao mkuu...
drama tu za mitandaoni
Mna uwezo binafs kwakweli 😀😀Aisee huo ujinga nilikuwa naufanya those days, (Multiple Id's) lakini siku hizi nimeshakuwa matured aisee, halafu na muda huo sina tena 😅 😅 😅
Huyu Zai ana rambo ??? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hujawahi kutana na zai wewView attachment 2670489
Mna mambo nyie😀😀😀Hujachanika aiseee 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Zai ni nomaHuyu Zai ana rambo ??? 🤣🤣🤣🤣
Kipindi hicho mimi nilikuwa najifanya niko MATURED basi nikawa naandika points tu jamiiforums, nanukuu vifungu vya biblia na kuchati kwa staha.Aisee huo ujinga nilikuwa naufanya those days, (Multiple Id's) lakini siku hizi nimeshakuwa matured aisee, halafu na muda huo sina tena [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Enzi hizo miaka 10 iliyopita aiseee. 🤣🤣🤣🤣Mna uwezo binafs kwakweli 😀😀
Tobaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hujawahi kutana na zai wewView attachment 2670489
🤣🤣🤣Tobaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
Yapi tena ? 😁Mna mambo nyie😀😀😀