Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂😂DahEnzi hizo miaka 10 iliyopita aiseee. 🤣🤣🤣🤣
Id's mpaka za Mabinti 🤭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂DahEnzi hizo miaka 10 iliyopita aiseee. 🤣🤣🤣🤣
Id's mpaka za Mabinti 🤭
Kipindi hicho mimi nilikuwa najifanya niko MATURED basi nikawa naandika points tu jamiiforums, nanukuu vifungu vya biblia na kuchati kwa staha.
Baadaye nikagundua kumbe nina FAKE MATURITY halafu pia UJINGA NI MTAMU.
Hakuna kitu kinalipa kama kuwa MJINGAAA, ni raha ya ajabuuuuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hujawahi kutana na zai wewView attachment 2670489
Ilawatu wengi tu Wana IDs nyingi nafikiri weng past zinawatesa unakuta umeandika vitu vingi vya kijinga 😂kunawakat unakitu Cha muhimu unashindwa kukileta kuhofia watu hawatakuchukulia seriousYapi tena ? 😁
🤣🤣🤣🤣Una hatareee wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni mwendo wa kuogelea kwenye BAHARI YA UZEZETA.Wizooo yaani ukitaka uenjoy jf jifanye mjinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Stress free unaweka shida chini, unarusha mikono juu
Kuna Id yangu ilikuwa inaitwa Lora aisee nilikuwa natumiwa sana vocha halafu enzi za Jakaya vocha ya 10 k Mtu alikuwa hawazi na ule ushamba wa mitandao ilikuwa noma mnoo😂😂😂Dah
Et Lora ulipiga sana ela inaelekeaKuna Id yangu ilikuwa inaitwa Lora aisee nilikuwa natumiwa sana vocha halafu enzi za Jakaya vocha ya 10 k Mtu alikuwa hawazi na ule ushamba wa mitandao ilikuwa noma mnoo
Kumbe ni mafundi ndo maana sikuhiz watu wakija na multiple IDs mnajua mapemaKuna Id yangu ilikuwa inaitwa Lora aisee nilikuwa natumiwa sana vocha halafu enzi za Jakaya vocha ya 10 k Mtu alikuwa hawazi na ule ushamba wa mitandao ilikuwa noma mnoo
Zile Id's zote niliachana nazo na nikaomba Invisible aziondoe na kuzifuta kabisa, Id yangu ndio hii hii hata hivyo past zangu humu zilikuwa za kujifanya mkereketwa wa CHADEMA kitu ambacho sio ishu ngumu 😅 😅 😅Ilawatu wengi tu Wana IDs nyingi nafikiri weng past zinawatesa unakuta umeandika vitu vingi vya kijinga 😂kunawakat unakitu Cha muhimu unashindwa kukileta kuhofia watu hawatakuchukulia serious
😂😂Yani ukiwa serious unakuf haraka mnoNi mwendo wa kuogelea kwenye BAHARI YA UZEZETA.
Kwa kweli najisikia faraja sana sijibani bani niko huruuuu naweza kuwa mjingaa jinsi ninavyotakaa naenjoyyyyyyy awwwwhhh [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mambo ya kujifanya ati uko MATURED mwishowe unakufa kwa ghadhabuuu na makunyanzii usoniii hata papuchii hupewiii jamaniiiii....
Naona ulikuwa unaoga matusi kutoka Kwa makada😂😂Zile Id's zote niliachana nazo na nikaomba Invisible aziondoe na kuzifuta kabisa, Id yangu ndio hii hii hata hivyo past zangu humu zilikuwa za kujifanya mkereketwa wa CHADEMA kitu ambacho sio ishu ngumu 😅 😅 😅
Akili zilikuwa hazijakomaa vizuri aisee 🤣🤣🤣Kumbe ni mafundi ndo maana sikuhiz watu wakija na multiple IDs mnajua mapema
We acha tu . 🤣🤣🤣🤣Naona ulikuwa unaoga matusi kutoka Kwa makada😂😂
😂😂Akili zilikuwa hazijakomaa vizuri aisee 🤣🤣🤣
Nasemaje haliwi mtu hapa......Oi mshamba_hachekwi huyu mwanao Ogaranya ana hoja ya msingi sana kubishana na mleta hii thread, nimefanya utafiti mdogo tu nimejiridhisha 😅 😅 😅
Bora umeachaWe acha tu . 🤣🤣🤣🤣
Unaachaje kufa kwa mfano!!![emoji23][emoji23]Yani ukiwa serious unakuf haraka mno
Ni mwendo wa kuogelea kwenye BAHARI YA UZEZETA.
Kwa kweli najisikia faraja sana sijibani bani niko huruuuu naweza kuwa mjingaa jinsi ninavyotakaa naenjoyyyyyyy awwwwhhh [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mambo ya kujifanya ati uko MATURED mwishowe unakufa kwa ghadhabuuu na makunyanzii usoniii hata papuchii hupewiii jamaniiiii....
Kuna Id yangu ilikuwa inaitwa Lora aisee nilikuwa natumiwa sana vocha halafu enzi za Jakaya vocha ya 10 k Mtu alikuwa hawazi na ule ushamba wa mitandao ilikuwa noma mnoo