Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Huyu hajui kama sie wazaramo,tunaweza msimanga mpaka damu zimtoke puani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwambie baby wako namuheshimu

Tutamsimanga mpk atimize ahadi asilete ugaigai wake [emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mgawie huyo mgerasi

Ngoja nimuungnishe nae wakale mema ya nchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom