BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Natania tu.BICHWA KOMWEE , hata kama ni mtandaoni na hatujuwani lakini sio busara na nimekuona ni mtu wa ajabu sana bila sababu kuandika matusi huku ukinishambulia sio fair kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natania tu.BICHWA KOMWEE , hata kama ni mtandaoni na hatujuwani lakini sio busara na nimekuona ni mtu wa ajabu sana bila sababu kuandika matusi huku ukinishambulia sio fair kabisa.
Wewe wasema😂😅😅😅😅😅Eeeeeh,Kwa hiyo nitoe oda ya table for two?
Njoo tutimize ile fantasy yetu ya kupigana madole.Upo sahihi kabisa mie jf natoa stress za maisha tuu. Wala msinichukulie serious hapa kabisaaaa.
Njoo nae😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23] Hilo nalo neno na bwana mwenyewe alivyo macho juu juu sasa
Njoo nae[emoji3][emoji3][emoji3]
Usijali mkuu wewe ukiwa na muda nicheki pm nikutumie namba tutafutane tuzungumze,maisha ndiyo haya haya na kama vijana ni lazima tushirikishane fursa za kimaisha mwananguNatamani kukutana na mwamba mmoja UMUGHAKA ili anipe michongo na tuongee mawili matatu kuhusu harakati za maisha
Au nitumie namba ake nimsalimieHapana kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo lako mtu akiwa serious nawewe unamringiaUsijali mkuu wewe ukiwa na muda nicheki pm nikutumie namba tutafutane tuzungumze,maisha ndiyo haya haya na kama vijana ni lazima tushirikishane fursa za kimaisha mwanangu
Basi hapa umekataa...Wewe wasema😂
Kama ni Countrywide unaruhusiwa kiroho safiWoyoooooo !!! Sis akee, vipi partner wangu naruhusiwa kuja naye? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gentamycine nenda pale soko ka kawe kwa wauza mihogo utampata kwanza sikio lake lumekatwa baada ya kufumwa na mke wa bwana cherehani wa hapo kawe
Au nitumie namba ake nimsalimie
Kama ni Countrywide unaruhusiwa kiroho safi
Kwani ni dhambi kumsalimia shemeji [emoji3][emoji3][emoji3]
Huyu hajui kama sie wazaramo,tunaweza msimanga mpaka damu zimtoke puani🤣🤣🤣🤣mwambie baby wako namuheshimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unavyomuelewa sasa!! Hivi alikupa mzigo wako?