Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Ndio Mimi huyo ,vipi umenipenda au gauni langu la kanisani limekuudhi?
 
😀😀😀sasa je atachagua yeye
Aiseee kucheza na shemeji Yako ni sawa na kucheza remote ya kinu Cha nyuklia,nakushauri achana nar atakula tu Kwa mama lishe
 
Back
Top Bottom