Anataka kuzima taa na shemeji yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Labda nimpe namba ya mFrance
Baby Unique Flower nimewahi kukulingia kwenye jambo gani mama?Tatizo lako mtu akiwa serious nawewe unamringia
Huyu hajui kama sie wazaramo,tunaweza msimanga mpaka damu zimtoke puani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwambie baby wako namuheshimu
Ntamwambia shemej nna ugwaaaaaaaaaduWewe unataka kuzima taa nishashtuka [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ampeleke Rongoni beach
kwajili ya nini mkuuPia Dr hyperkid anakunja ngumi
Ntamwambia shemej nna ugwaaaaaaaaadu
🤣🤣🤣😂😂😂😂mgawie huyo mgerasiAnataka kuzima taa na shemeji yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Labda nimpe namba ya mFrance
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mgawie huyo mgerasi
Halahala na shemeji zako😂😂Kwani ni dhambi kumsalimia shemeji 😀😀😀
Naomba nimuonje kidogo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] na alivyo mtraaamu sasa si utamng’ang’ania jamani mi nikufweeeeee
Na we tena umesafiriHalahala na shemeji zako😂😂
Wewe ndiyo wewe??Halahala na shemeji zako[emoji23][emoji23]
Mmmh usije ukapika vyote bureee😅😅😅Na we tena umesafiri
Shemeji ana mtu wa kumsaidia kupika jamani
Naomba nimuonje kidogo tu
.Wewe ndiyo wewe??
Mmmh usije ukapika vyote bureee[emoji28][emoji28][emoji28]
I mean hiyo Avatar ya wewe ni wewe mwenyewe wewe wewe??Mimi sio Mimi
.
Nampikia ale kisha aleMmmh usije ukapika vyote bureee😅😅😅