Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Me nasubiri tu mzee mweusi mwenye kitambi chake aje online
Me naetamani kumuona ni mzabzab nione anayoyaandika yanafanana na yeye au ni nini
Sijawahi kuonana nae lakini believe me...kuna threads za mwaka 2011 I bet, nilikuta comments zake. Ni mtu mzima, mwenye akili zake, anaejitambua. Huyu anaejiportay hapa si yeye..na sielewag why he does this. Kule alikua anaandika vitu sensible mpaka nikawa siamini kama huyu wa miaka hii ndo yule kule. Maybe people change anyways.
 
Kwa sisi tuliosoma Cuba tushaelewa umeshoboka na bill lugano anavyojisifia ana mihela. Hao wengine umewaweka boshen tu. Ngoja ukakopwe
 
Kumbe mzabzab ni dingi ila anajitoa akili
 
Kuna sehemu na sehemu anaandika mambo ya maana ila kuna threads zingine anachangia mambo ambayo unaogopa hata kusoma mbele za watu.
People change sometimes ila kwake ni balaaπŸ˜†πŸ˜†
 
Mbona Mshana Jr hujamtaja, Hutaki uone vile anavaa suti nyeundu na kofia zile za Mamwinyi!
 
Kuna sehemu na sehemu anaandika mambo ya maana ila kuna threads zingine anachangia mambo ambayo unaogopa hata kusoma mbele za watu.
People change sometimes ila kwake ni balaaπŸ˜†πŸ˜†
Mi nakwambia kuna thread ya zamni nikamfatilia mpaka nikasema hata sio kweli..huyu si mzabzab. Ila ndo mambo hayo.
 
Namba 2 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Don't believe anything in the internet niliwahi sikia yupo tcra kwenye branch kubwa kubwa tu
 
Kuonana au kumuona Gentamycine unatafuta matatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…