Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Kumbe ana ndugu zake hapa,..
Ndio wewe na huyo Shimba ya Buyenze basi mfikishieni salamu kaka yenu.,mwambieni silali siamki.

Picha yake sihitaji nataka nipige nae story za ana kwa ana.,anajua mambo mengi sana.

Hivi kumbe pm kuna miamala hufanywa huko.
Watu wamenunuliwa magari,
Wamejengewa nyumba,
Wamepelekwa serengeti na tarangire,
Hivyo vyote ni kazi ya pm rafiki we ulikuwa hujui na miaka yote uliyoishi humu 😅😁😁😁😁
 
Unaweza kum follow na pia anashindaga uzi wa vituko mtandaoni jf kamcheki kule

Picha ya uso wake nauza 10k sema ndiyo tuzame pm chap unitumie hela 😅😅

Oy Shimba ya Buyenze mdogo wako Mshana Jr anahitajika huku mkuu, mshtue aje chap 😁😁😁
Hao ndo ma don wa hapa JF mkuu. Usijilinganishe nao!
 
Watu wamenunuliwa magari,
Wamejengewa nyumba,
Wamepelekwa serengeti na tarangire,
Hivyo vyote ni kazi ya pm rafiki we ulikuwa hujui na miaka yote uliyoishi humu [emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Dah,..
Umenifanya nitabasamu.
Kumbe kuna mengi humu..,kwahiyo mtu akifanyiwa hayo uliyotaja anakuja kukusimulia?
Au wewe ndiye mfanyaji?

Unaniwazisha ujue,[emoji848]
 
Dah,..
Umenifanya nitabasamu.
Kumbe kuna mengi humu..,kwahiyo mtu akifanyiwa hayo uliyotaja anakuja kukusimulia?
Au wewe ndiye mfanyaji?

Unaniwazisha ujue,[emoji848]
😅😅😅😅😅😅, nacheka kama tahira ni hivi jf ni kama mkoa tu wenye watu,

Hivyo kuna watu wa kila aina humu mambo ni mengi sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Sasa ww kama member unachagua uishije humu

Mi nimeamua niwe mfuatiliaji tu wa mambo ya watu, ndo nimejua hivyo vitu.

Sina uwezo wowote wa kiuchumi wa kumjengea mtu nyumba, kumnunulia gari au kumpeleka tarangire mi ni kapuku. Ila jua tu kuna ma don humu.

Anyway nimekutag uzi wa vituko mtandaoni shinda kule utakutana na huyo rafiki ako mshana
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28], nacheka kama tahira ni hivi jf ni kama mkoa tu wenye watu,

Hivyo kuna watu wa kila aina humu mambo ni mengi sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sasa ww kama member unachagua uishije humu

Mi nimeamua niwe mfuatiliaji tu wa mambo ya watu, ndo nimejua hivyo vitu.

Sina uwezo wowote wa kiuchumi wa kumjengea mtu nyumba, kumnunulia gari au kumpeleka tarangire mi ni kapuku. Ila jua tu kuna ma don humu.

Anyway nimekutag uzi wa vituko mtandaoni shinda kule utakutana na huyo rafiki ako mshana
Poa,
Nitaitika kwenye tag.[emoji106]
Pia nitajitaidi kuzungukia vizuri kijiji chetu ili wanakijiji wanitambue,
Shukrani
 
Bila kuwemo Mpwayungu Village hiyo list ni batili
1. Bill Lugano
2. GENTAMYCINE
3. Chizi Maarifa
4. Deep Pond
5. Viatu vya samaki

Kuna watu huwa nawasoma halafu nawaza watakuwa na sura gani? Umbo gani? Wanavaaje? Wanatembeaje? Wanaishije.

Huyu chizi maarifa nahisi atakuwa ni yale maanaume makorofi yenye sura mbaya mababe, hayana sana akili yanajua kutiana tu labda. Halina mvuto lipo lipo tu ila labda limepata vijicent kidogo so linakuwa na ujeuri sana.

Bill Lugano anaonekana mkaka mstaarabu sana. Msafi anajipenda. Hana ugomvi na very romantic kwa kweli. Sijawahi soma akimtukana mtu au akijibishana na mtu vibaya. Hata kuwatukana wanawake. Siyo kama lichizi maarifa lilivyo.

Gentamycine anaonekana atakuwa mweusi, mfupi, anakitambi kikubwa. Mnene anajipenda sana. Anapenda kuonekana kwenye kundi la watu. Mbishi hapendi kuambiwa kitu amekosea. Akiwa na demu wake ana wivu sana.

Deepond naye mstaarabu ila tu ana michepuko sana. But si mgomvi ana utulivu anaweza kuwa maji ya kunde na kimo cha wastani. Anavaa vizuri pia.

Hao ni wanaume ambao binafsi natamani niwaone nione ufanano wanachoandika na mwonekano wao. Maana kuna mambo mtu anaandika mpaka unawaza atakuaje huyu mtu? Nimeangalia wanaume sababu mimi ni jinsia ya tofauti nao

Ooooh .... Na kuna mwingine Komeo Lachuma huyu anaishi kwa shemeji yake. Nadhani kamaliza form six ila alifail kijijini so hakuendelea na chuo. Kisha akaona maisha ya kule kijijini magumu akaja kuishi kwa dada yake mjini. Anataka kuchukua mademu kupitia hali nzuri ya shemeji na dada yake. Atakuwa mweusi , mrefu wa wastani. Mwembamba nyangema. Ila ana ushamba kiasi flani. Ana ujinga mwingi pia. Maana anaishi na kulishwa na dada yake. Hafikirii kuanzisha maisha yake.

Kuna wakati nawasoma watu sana kisha naanza kujenga picha watakuaje hao watu katika maisha halisi. Najiwazia tu kutokana na wanachoandika
 
Mimi natamani sana kumuona

Mshana Jr [emoji23][emoji23]
9415ed165cdf67d97007d0a562216a50.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom