2nzi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 259
- 227
Bora umekuja ndugu,..
Hicho kitabu sijakielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umekuja ndugu,..
Vijana wako wanakupaisha balaa,Hahahahaa nimevumilia nimeshindwa imebidi tu nicheke kwa sauti[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅😅 Kwani uongo mkuu, waganga wengi ni mikapuku 🤣🤣🤣🤣.Hahahahaa nimevumilia nimeshindwa imebidi tu nicheke kwa sauti[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha zako ww, 😅😅😅Vijana wako wanakupaisha balaa,
Atakuwa mwijaku huyo
Dah [emoji23]Mbona Mshana Jr hujamtaja, Hutaki uone vile anavaa suti nyeundu na kofia zile za Mamwinyi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha zako ww, [emoji28][emoji28][emoji28]
Atakuwa ni nani kati yao?Kuna mmoja hapo ukitaka kumwona nenda kwenye maduka ya kubeti. Ukiona mtu anafika kavaa tai na suti anaenda kwenye fixture, dakika 2 kashachukua timu 3 anaenda kwa cashier anatoa kibunda ili kufyatua mkeka kisha anaondoka, basi ujue huyo ndio mwana JF unayemtafuta sasa.
Evolution ......Sijawahi kuonana nae lakini believe me...kuna threads za mwaka 2011 I bet, nilikuta comments zake. Ni mtu mzima, mwenye akili zake, anaejitambua. Huyu anaejiportay hapa si yeye..na sielewag why he does this. Kule alikua anaandika vitu sensible mpaka nikawa siamini kama huyu wa miaka hii ndo yule kule. Maybe people change anyways.
Mwanaume unashobokea wanaume wenzio... Heeeeh.... Hatari siku hizi bora tu uzae mtoto wa kike. Yaani una taarifa za wanaume wenzio na unasema kabisa NILIWAHI SIKIA..... mweeeeeeh.... We huna malinda. Huna kabisa. Usibishe. Hiyo sauti ya kike..... Looooooh.Don't believe anything in the internet niliwahi sikia yupo tcra kwenye branch kubwa kubwa tu
Polee rafikiMwanaume unashobokea wanaume wenzio... Heeeeh.... Hatari siku hizi bora tu uzae mtoto wa kike. Yaani una taarifa za wanaume wenzio na unasema kabisa NILIWAHI SIKIA..... mweeeeeeh.... We huna malinda. Huna kabisa. Usibishe. Hiyo sauti ya kike..... Looooooh.
We nawe kwa kupenda kutaka waambukiza wanaume magonjwa.... Yaani unajaza picha za wanaume tu ukiwatamani..... Hao sijui kama wanatumia hayo mauchafu yako. Hujisikii aibu kutamba una picha za wanaume? Khaaaaaah..... Mfyu.....Unaweza kum follow na pia anashindaga uzi wa vituko mtandaoni jf kamcheki kule
Picha ya uso wake nauza 10k sema ndiyo tuzame pm chap unitumie hela 😅😅
Oy Shimba ya Buyenze mdogo wako Mshana Jr anahitajika huku mkuu, mshtue aje chap 😁😁😁
Hawajiuzi hivyo, utaumbuliwa humu nimekaa 👉👉👉👉👉👉👉 Nakucheka kaa ngedere 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🦛🦛🦛🦛Unaumia sana kaka shoga.
Hujui? Huyo ni shoga.... We msome tu kwenye huu uzi . Utamwona. Na mpaka anakwambia ana picha zao hao watajwa..... Hatari humu.... Si salama kabisa.Dah,..
Umenifanya nitabasamu.
Kumbe kuna mengi humu..,kwahiyo mtu akifanyiwa hayo uliyotaja anakuja kukusimulia?
Au wewe ndiye mfanyaji?
Unaniwazisha ujue,[emoji848]