Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

1. Wamekulia katika familia zenye migogoro ya ndoa hivyo wana experience mbaya (Adverse Childhood Effect).

2. Ni wachoyo au waoga wa maisha wakiamini wakioa watakua na majukumu, au maisha yatakua magumu hawatayamudu au mke atatumia mali zake.

3. Wanauelewa mdogo wa binadamu, wakiamini ili waoe basi wapate mtu ambae hatakua na dosari hata moja, huu ni ujinga, hakuna aliekamilika.

4. Hawana imani ya dini na wamejihalalishia zinaa.

5. Ni malimbukeni wa kufata mkumbo.

6. Wao wenyewe ni wenye tabia mbovu, hivyo kila wanaemuona wanaamini anatabia mbovu kama za kwao.

7. Wanauwezo mdogo wa ku jaji mambo, wakiona mwenzao anasumbuliwa basi wanamini nao itakua hivyo, au waliumizwa huko mbeleni.

Kwanini ni muhimu mwanaume kuoa?
1. Kupata watoto na kuwatengenezea umoja, kuwa na watoto bara na pwani, kila mtoto na mama yake, ni chanzo cha mgawanyiko wa familia nyingi. Unapooa unatulia na familia yako.

2. Kupata safe sex na halali, unapooa, unasex kwa halali na unakua na uhakika wa uwena wake na usalama, hamsaidii mwanaume kusex na wanawake hivyo hovyo.

3. Kupata mashirika wa karibu, kitu amambacho wanaume hawajui, kadri unavyozeeka ndo unahitaji mtu wa karibu sana kua na wewe, mtoto wako wa kike au wakiume hawezi kukuhudumia ukishazeeka, mke wako atafanya hivyo. Pia ni raha kuwa na mwandani wako mnaeshare mambo yenu mbali mbali.

Kuna mambo nakubali si ya kuvumilia hata kidogo, hasa suala la usaliti, lakini kwa asilimia kubwa mambo mengi ni kuvumiliana, hakuna aliekamilika na hatatokea, cha msingi ni kupata ambae anamapunguvu unayoweza kuyavumilia, pia uamini pia wewe mwenyewe unamambo ambayo mwenzio anakuvumilia.

Ndoa ni raha, ndoa inaleta utulivu.

My dedication to my beloved wife is " One friend" by Dan Seals
Nimependa hiyo dedication
 
Na tatizo kubwa la wanaume wenye ndoa Ni kugongewa wake zao na akina sisi tusioa😂

Juzi Kati nchini Uganda Kuna jamaa alimfumania mkewe hospitilini akiliwa na dogo mwenye miaka 22.

Ndoa ni ubatili mkubwa Sana jamani.
Ukipakwa mafuta makalioni uje utuambie pia
 
Hakuna kijana rijali asiyependa kuoa....,isipokuwa yanayoshuhudiwa mitaani kuhusu wanandoa yanatisha na kutia kinyaa kabisa.....


Na hi ndio sababu mkuu
Wanadhani hatutaki kuowa
Kuowa ni jambo jema
Kuowa ni baraka kwa mungu na familia
Kwa imani yangu kelphin nnaamini hivi
“Mtu anapoowa hata njia za kipato hufunguka zaidi kadri na anavyotafuta”

Lakini shida ni!
Wanawake wamekua wakichukulia vitu rahisi
Utandawazi unavyozidi kuendelea kwenye technology ndivyo vilevile kwenye mahusiano ya mapenzi
Hakuna uvulilivu
Heshima na ustahimilivu
Kila kitu cha ajabu kimekua CHAKAWAIDA
Wake za watu wanapigwa pumbu peupe kabisa.
Na hawastuki na wala hakuna tabu
Then unanitaka niowe ili?

Lucky dube alisema”ukitaka kumbadilisha mtu usimnunulie nguo wala viatu wala chochote, bali mbadilishe mtazamo wake”

Mtazamo haukui from no where
Mtazamo unwjiunda kutokana na unachokiona

Sasa kwa haya tuyaonayo je hizo ndoa tuzipapalikie ili?
Kama nlivyowahi kusema hapo nyuma ya kua
Hakuna mwanaume kamili anaekimbia majukumu

Lakini utakua na uhakika gani kama majukumu ni yako!??
Heshima yako [emoji2772]
 
Na tatizo kubwa la wanaume wenye ndoa Ni kugongewa wake zao na akina sisi tusioa😂

Juzi Kati nchini Uganda Kuna jamaa alimfumania mkewe hospitilini akiliwa na dogo mwenye miaka 22.

Ndoa ni ubatili mkubwa Sana jamani.
Kama unamuamini Mungu ndoa ni jambo lake na haliwezi kuwa batili,ni batili kwa wanaoamini upinde
 
KATIKA SBABU ZAKO SABA YA KWANZA UKO SAHIHI , ZILIZOBAKI UKO KWENYE HISIA ZAIDI, HAZINA UHALISIA.

JE KWA NINI WANAUME WENGI KWA SASA WAMEKATA TAMAA YA KUOA?
JE NDOA ZA SASA NI KUSUDIO LA MUNGU? AU NI MAPOKEO
JE FAIDA ZA KUOA NI ZIPI NA HASARA ZA KUTO OA NI ZIPI? KIUCHUMI, KIMWILI,NA KIIMANI?

KWA UANDISHI WAKO HUU,INA MAANISHA MWANAMKE ASIYE NA NDOA ANA HASARA ZAIDI.

KIBIBLIA KUTO KUOA SIO KOSA.
1 Wakorintho 7:1-25
Naam, ni vizuri kama mtu haoi; lakini kwa sababu ya hatari ya uzinzi, basi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe

SASA KAMA UMEOA,KUOLEWA NA BADO UNACHEPUKA TOFAUTI YAKO NA WASIO NA NDOA NI NINI?

UKIISHA FANYA MAPENZI NA MWANAMKE, TAYARI KIMWILI NA KIROHO MMEUNGANISHWA
1 Wakorintho 6:16
Maandiko yanasema, “Watu wawili watakuwa mmoja.” Hivyo mnapaswa kujua kuwa kila aliyeungana na kahaba, amekuwa mwili mmoja na kahaba.

KWAMBA WENGI WANAISHI NA WAUME ZA WENGINE, WAKE ZA WENGINE
THAMANI YA MWANAMKE IKO KWENYE UCHI, UKIISHA UONA NA KUUTUMIA, HATA BAADA YA KUOLEWA KWAKE BADO UTAENDELA KUUTUMIA.NA NDIO MAANA MARA ZOTE ALIYE OLEWA ANARUDIA KUCHEPUKA NA ALIYEMVULIA NGUO.
 
Back
Top Bottom