dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
na wanaoongoza kubugia ARV kimya kimya wako ndoani, unasikia baba anakufa baada ya miaka kadhaa, kisha mama anafuataWanaoongoza kwa zinaa ni Hao walioko ndoani. Tena Wana viapo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wanaoongoza kubugia ARV kimya kimya wako ndoani, unasikia baba anakufa baada ya miaka kadhaa, kisha mama anafuataWanaoongoza kwa zinaa ni Hao walioko ndoani. Tena Wana viapo kabisa.
hahahah em niache we mama utaniua mbavu shenziUtaskia eti, yaani mi
Nioe af nije nigawane mali na mwanamke never. Ukimuuliza una mali gani, subwoofer na kitana. Mbafffffff[emoji1787]
Kengele ni mali pia tuheshimiane basi..Eeh deep bond alitoa fundisho[emoji23] kiburi dawa yake jeuri sasa mtu anakwambia tugawane mali
Ukimuangalia ana miliki kengele zake na boxer tu nachekaga[emoji23]
😂😂😂Kengele ni mali pia tuheshimiane basi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitomba unapata faida gani?
HILI NALO TUNALICHUKUA TUKALITIZAMEBi.Tozo popote ulipo naomba utoe maagizo hili suala liende likaangaliwa.
Damu zitoke mkunduni kwani unampa adhabu ya kifiro?Ntapiga kama ngoma hadi damu zitoke mpaka mkunduni.
Ntakununulia bajaji mbili.jf inachekesha[emoji28] wanaokataa kuoa kisa mali ndo wa kwanza kudhulumu mali walizochuma na wake zao
ila lina kengele.Af janaume lenyewe linalokupiga hivyo halina hata mia mfukoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]°mtu mwenyewe unafanya kazi halmashauri, tafuta kazi nzuri toka hapo halmashauri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]°Wake za watu wanapasuliwa spika sana huku tegeta
uzembe wa nani?Baba yako kumlisha mama yako?..Ni uzembe wake
Mimi nimetulia kama maji ya mtungi 😆Na nyie mliooa na kuolewa tulieni ndoani sio kila siku manafumaniana na kuuana juzi tu hapa jamaa kachoma visu mkewe kisa kamfumania. Nyie ndio mnaongoza kusalitiana