Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Halafu nyie mlio oa mmeshindwa kulea watoto wenu, bali wanalelewa na mashoga na mwisho wa siku mnaongeza mashoga mtaani....
 
"Wanaume wanaokataa ndoa are like this and this and that..."

Wanawake wapo hivi, hutumia maneno flani ya kejeli kucontrol weak males.

bro, you cant tame men into bitches.
 
Halafu nyie mlio oa mmeshindwa kulea watoto wenu, bali wanalelewa na mashoga na mwisho wa siku mnaongeza mashoga mtaani....
Alieoa na kukaa na familia yake na anaetia mimba akakimba akijifanya hataki kuoa nani wa ajabu?
 
Ndoa ni sumu inayoua pole pole. Usipoteze wenzio, wanaume waliooa wameshapoteza nusu ya mioyo yao- wengi wanaishi kama mazombi
 
...
IMG-20230118-WA0011.jpg
 
Na nyie mliooa na kuolewa tulieni ndoani sio kila siku manafumaniana na kuuana juzi tu hapa jamaa kachoma visu mkewe kisa kamfumania. Nyie ndio mnaongoza kusalitiana
Mimi nimetulia kama maji ya mtungi 😆
 
Back
Top Bottom