Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

kuna vingi tu vya kukupa furaha tofaut na hyo Ndoa labda uwe una matatzo
Vya kukupa raha(pleasure) ya fasta ndio vingi, ila furaha(happiness) ya kudumu inategemea wengine pia.
Ni heri zaidi kutoa upendo kuliko kupokea penzi✊👊. Fact.
 
Being single is better than being in a bad relationship.

Being in a good relationship is better than being single.

What is good/bad is subjective depending on one's "make up" i.e


their background (eg. They weren't loved as children, they've had traumatic experiences with the opposite sex etc),

their knowledge (about relationships, human behavior, their bodies, their minds etc),

their genetics (eg. Kuna asexuals etc),


their faith (eg. Promiscuity is wrong etc)

their mindsets (eg. "All men cheat" etc)

etc etc...

For some mental cases nothing will ever be good enough,

they're doomed for a lifetime of demonizing committed relationships and the opposite sex!
Regardless of age, this☝ is so mature.
 
Ni

Ni kama vile kuna watu wana account nyingi ili kupiga debe lao la kukataa ndoa au wengine mnajifanyisha tu humu online ila mnafamilia au mpango huo, haiingii akilini kuwa idadi kubwa na watu humu waikandie ndoa kiasi hiki. Na kama ni kweli idadi ya wahuni ni wengi
Mzee ukiona watu wanaikataa ndoa usianze kusema sijui account nyingi, ndoa ilikuwa zamani tu lakini kwa life style ya sasa ndoa ni aina mpya ya utumwa, asilimia kama 80 ya ndoa za kisasa hazina furaha. Nasisitiza kataa ndoa ni utumwa
 
Hyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetu na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetu. Aiseeeeee hapana ndoa ni utumwa.

Polee sanaa🥹🥲
 
Hyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetu na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetu. Aiseeeeee hapana ndoa ni utumwa.
Baba yako alikubalije kunyanyaswa na mke wake? Au Mzee alikuwa mtu wa Pwani akakutana na dada mtu kazi ?
 
Kiufupi mwanaume asie taka kuoa hana zana za kufanyia kazi inayompeleka kwenye hiyo ndoa anaogopa kuaibika. Ova[emoji1787]

59 seconds rule [emoji38]
Nimefanya research jf wanawake huwa mnachukia sana wengine kutukana kabisa hawa jamaa wakiletaga mada za kutoa huwa ni kwa nini ?

Ina maana mkuu wanawake hamuwezi ishi bila wanaume?

mbona mnatuaibisha mabinti zetu ujue tunawapeleka shule ili wanaume wasiwababaishe ikiwa ni miongoni mwa sababu mojawapo msiwe watumwa

Utakuta mwanamke anateswa bado anan'ga n'gania hiyo ndoa

Anyway I will put his fucking hands on wall any man dare to beat my daughter
 
Nimefanya research jf wanawake huwa mnachukia sana wengine kutukana kabisa hawa jamaa wakiletaga mada za kutoa huwa ni kwa nini ?

Ina maana mkuu wanawake hamuwezi ishi bila wanaume?

mbona mnatuaibisha mabinti zetu ujue tunawapeleka shule ili wanaume wasiwababaishe ikiwa ni miongoni mwa sababu mojawapo msiwe watumwa

Utakuta mwanamke anateswa bado anan'ga n'gania hiyo ndoa

Anyway I will put his fucking hands on wall any many dare to beat my daughter
Unadhani sisi tunawakomalia waoe mkuu? Walaaa. Tunapingana na sababu zao eti wanahofia wanawake wanaolewa kwa tamaa. Eti wakiachana watagawana mali. Sasa wewe kama baba wa binti niambie hiki
Kitu, je, unamlea mtoto wako aje kuwa tegemezi kwa mwanaume?

Basi the sad part of this ni kwamba baadhi ya wanaume humu jf wana dhana kwamba tunaolewa kwa sababu ya mali zao ambazo wazazi wetu walitusomesha tukazitafute at the same time hawataki wanawake wafanya kazi wanasema ni feminists. Kuna mkanganyiko humu Mkuu usione tunapopoana. Mambo ni mengi😅

Endelea kupekua thread utakutana na hii kauli, “ huyu ataolewa na nani hivi alivyo mjeuri” yaani they think we are desperate for marriage. Of which it’s not true.

Nyinyi kama wazazi/walezi na wakubwa pia waelekezeni vijana kwamba kuna wanawake watafutaji tena sana ndo maana kizazi cha marioo kimeongezeka miaka hii mwanaume anakunja nne mwanamke anatafuta kwa jasho. Ni hayo tu
 
[emoji23][emoji23]Raha ya ngoma uingie ucheze achana na masimuliz ya jf mm mwenyew wanavokataa ndoa jf nawashangaa wakat huku mtaani vijana wanatufata wanatak watupe nusra
Ndoa hazifai kwa sasa labda zaman
 
Hatari kabisa, bara letu kwa asilimia kubwa tunakosa wingi wa watu wenye mawazo chanya katika mambo mbalimbali mfano ni hapa nchini.

Ukijaribu kukaa katika makundi mbalimbali ya watu utaona ni kwa namna gani watu wanawaza ujinga muda wote.

Mada za kijinga kijinga zimetamalaki humu jf, wattsapp groups, mitaani vitu vya msingi hatutaki kujua wala kujishughulisha navyo.
Mkuu unaona za kijinga kwa sababu umezeeka , kampeni ya kataa ndoa kuna watu apa wapo ndoani wanaona ni nzuri ya nn kufuga ng'ombe wakati unapata maziwa ? Kma ninaweza kuzaa na mke wa mtu kuna haja gan yakuoa ?
 
Back
Top Bottom