[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui ni nini, binafsi sipendi calls za colleagues baada ya saa 12 jioni.. kama hatuna ushost hata wa kuvizia nitakutafuta pakikucha. Yan nimeitune mpk mashost wa kazini wanajua nalala saa 2 [emoji1787][emoji1787]
Tutapitwa na deals za kina Miss Natafuta [emoji16][emoji16] ila muda wa kazi ukiisha hapana jamani. Kunae life lingine liendelee
Hivi dear wewe ni WA kiume au WA kike??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulongo!Katika kitu sijawai Fanya maishani na sitokaa nifanye ni kudate mume WA mtu.
Kumkatia mrijaKosa langu nini??
Mbona nilimsaidia? Alichonifanyia ni fair?Kumkatia mrija
Kulinda ndoa yake ni kitu kibaya? Huenda kwako unaona huo ni udhaifu basi mlinde na udhaifu wake wa kupelekeshwa na mkewe.Mbona nilimsaidia? Alichonifanyia ni fair?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie niko kote dear.Hivi dear wewe ni WA kiume au WA kike??
Sorry lakini
Nyumba ndogo mna hasira sana aliyekujibu kunya ni mwanaume ila uzi umejaa masimango kwa mkewe!
WA kwangu ni mzuri kuliko huyo jamaa kwanza
Kulinda ndoa yake ni kitu kibaya? Huenda kwako unaona huo ni udhaifu basi mlinde na udhaifu wake wa kupelekeshwa na mkewe.
Lakini hakuheshimu na kukupenda kama huyo jamaa anavyomheshimu Mkewe.
Angekuwa anafanya hivyo huyo jamaaako usingeshindwa kuelewa hoja ya jamaa aliyekushushua na kukuona hujielewi.
Kimsingi ulichowasilisha ni povu la wivu
Unaonekana ulikuwa unamtaka, kakukataa unaanza kutoka mapovu.Sijui kwa wengine ila kwa kweli mwanaume yoyote awe ndugu yangu au rafiki WA kiume ambae Hana maamuzi yoyote Hadi kitu kifike kwa mkewe ndo akaamue yaani huwa wananikera.sisemi ni vibaya kushirikishana mke na mume hapana .Ila bakisheni chenji kama wanaume mtanishukuru baadae.
Kuna utopolo mmoja alikuwa na shida flani akaniomba nimsaidie kwa.mtu flani Niko nae close issue Tu ya maana kabisa yaani life changing issue..nikamuambia poa nitaongea na.muhusika then nitakurudia.
Nikaongea na muhusika..akakubali baada ya ushawishi mno yaani.
Nikaja kumtafuta jamaa kwenye mida ya jioni hivi saa moja kasoro jioni hivi hakupokea .nikapiga tena saa mbili hakupokea.
Kesho yake saa nne asubuhi akanitafuta kwanza akaniambia wewe miss ni marufuki kunipigia simu ovyo ovyo mwisho saa kumi na moja jioni.jamani nilijiskia vibaya Sana kwanza mtu mwenyewe sio mzuri ni wale wa dakika za jioooni,hela zenyewe Hana ndo Hadi apewe michongo na madanga yetu,nahisi hata kibamia kimeweka makao pale full tafrani yaani.
Akasema mke.wangu ni mkaliii ananichunga mno.nikataka kumuuliza anachunga nini hapo sasa.nilichoka wakuu.
Nikamuambia kata simu Niko busy nakurudia.
Nikampigia Yule boss nikamuomba radhi kwa kumsumbua Ile issue Yule mtu ashapata kazi ingine hatoweza kuifanya aendelee Tu na watu wengine asije nisubirie akaniona mswahili siku ingine nikakosa msaada kwake.
Jamaa akipiga simu hata sipokei na sitoblock atahaha sana
Haya sasa ni maneno ya mkosaji.Kwanza kwa mke gani hapa bongo.maisha yenyewe haya kila mtu ni mke tu
Unaonekana ulikuwa unamtaka, kakukataa unaanza kutoka mapovu.
Umemsoma vizuri.. huyu hasira yake ni kuwa jamaa pamoja na yeye kuhangaika lakini alijali zaidi ndoa yake . Wivu sio mzuri.
Kwakweli hatupendani, yani wazinguane wao ila lawama asilimia 80 kaangushiwa mke, sijaona kosa la mkewe hapo,😀😀
Wanawake wengi wenu mnachukiana tukiwaambia hamtaki. Adui WA Mwanamke ni Mwanamke mwenzake.
Kikawaida MTU kama Huna Dharura yoyote hutakiwi kumpigia Simu MTU MWINGINE tena mwenye familia yake basa ya Sana moja jioni
🤣🤣🤣 sasa kwanini unahangaika na wanaume wasiojielewa mbaya zaidi ukilaza wake unaufunika kwa kumkandia mkewe!WA kwangu ni mzuri kuliko huyo jamaa kwanza