Wanaume wanaoogopa wake zao ni washamba na wanakera

Wanaume wanaoogopa wake zao ni washamba na wanakera

Sijui kwa wengine ila kwa kweli mwanaume yoyote awe ndugu yangu au rafiki WA kiume ambae Hana maamuzi yoyote Hadi kitu kifike kwa mkewe ndo akaamue yaani huwa wananikera.sisemi ni vibaya kushirikishana mke na mume hapana .Ila bakisheni chenji kama wanaume mtanishukuru baadae.

Kuna utopolo mmoja alikuwa na shida flani akaniomba nimsaidie kwa.mtu flani Niko nae close issue Tu ya maana kabisa yaani life changing issue..nikamuambia poa nitaongea na.muhusika then nitakurudia.
Nikaongea na muhusika..akakubali baada ya ushawishi mno yaani.

Nikaja kumtafuta jamaa kwenye mida ya jioni hivi saa moja kasoro jioni hivi hakupokea .nikapiga tena saa mbili hakupokea.

Kesho yake saa nne asubuhi akanitafuta kwanza akaniambia wewe miss ni marufuki kunipigia simu ovyo ovyo mwisho saa kumi na moja jioni.jamani nilijiskia vibaya Sana kwanza mtu mwenyewe sio mzuri ni wale wa dakika za jioooni,hela zenyewe Hana ndo Hadi apewe michongo na madanga yetu,nahisi hata kibamia kimeweka makao pale full tafrani yaani.

Akasema mke.wangu ni mkaliii ananichunga mno.nikataka kumuuliza anachunga nini hapo sasa.nilichoka wakuu.

Nikamuambia kata simu Niko busy nakurudia.

Nikampigia Yule boss nikamuomba radhi kwa kumsumbua Ile issue Yule mtu ashapata kazi ingine hatoweza kuifanya aendelee Tu na watu wengine asije nisubirie akaniona mswahili siku ingine nikakosa msaada kwake.
Jamaa akipiga simu hata sipokei na sitoblock atahaha sana

Labda malezi ya u-single mother effects
 
Sijaona kosa la huyo kaka umemkasirikia bure tu. Hata kama mtu ana shida lkn ungemuelewa kwanza aina ya maisha anayoishi wakati ujao usipige tena simu usiku yeye ni mume wa mtu na mkewe hataki hizo mambo. Mbona ni kitu rahisi sana.

Ama ulikua na mambo yako mengine hapa umetuficha? si kwa hilo povu.
 
“nikataka kumuuliza anachunga nini hapo sasa”

Bwana kuwa na huruma Miss Natafuta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sijui kwa wengine ila kwa kweli mwanaume yoyote awe ndugu yangu au rafiki WA kiume ambae Hana maamuzi yoyote Hadi kitu kifike kwa mkewe ndo akaamue yaani huwa wananikera.sisemi ni vibaya kushirikishana mke na mume hapana .Ila bakisheni chenji kama wanaume mtanishukuru baadae.

Kuna utopolo mmoja alikuwa na shida flani akaniomba nimsaidie kwa.mtu flani Niko nae close issue Tu ya maana kabisa yaani life changing issue..nikamuambia poa nitaongea na.muhusika then nitakurudia.
Nikaongea na muhusika..akakubali baada ya ushawishi mno yaani.

Nikaja kumtafuta jamaa kwenye mida ya jioni hivi saa moja kasoro jioni hivi hakupokea .nikapiga tena saa mbili hakupokea.

Kesho yake saa nne asubuhi akanitafuta kwanza akaniambia wewe miss ni marufuki kunipigia simu ovyo ovyo mwisho saa kumi na moja jioni.jamani nilijiskia vibaya Sana kwanza mtu mwenyewe sio mzuri ni wale wa dakika za jioooni,hela zenyewe Hana ndo Hadi apewe michongo na madanga yetu,nahisi hata kibamia kimeweka makao pale full tafrani yaani.

Akasema mke.wangu ni mkaliii ananichunga mno.nikataka kumuuliza anachunga nini hapo sasa.nilichoka wakuu.

Nikamuambia kata simu Niko busy nakurudia.

Nikampigia Yule boss nikamuomba radhi kwa kumsumbua Ile issue Yule mtu ashapata kazi ingine hatoweza kuifanya aendelee Tu na watu wengine asije nisubirie akaniona mswahili siku ingine nikakosa msaada kwake.
Jamaa akipiga simu hata sipokei na sitoblock atahaha sana
uwe unanipigia mimi mkuu
 
Sijaona kosa la huyo kaka umemkasirikia bure tu. Hata kama mtu ana shida lkn ungemuelewa kwanza aina ya maisha anayoishi wakati ujao usipige tena simu usiku yeye ni mume wa mtu na mkewe hataki hizo mambo. Mbona ni kitu rahisi sana.

Ama ulikua na mambo yako mengine hapa umetuficha? si kwa hilo povu.
wewe ni mmoja wapo nini?
 
Back
Top Bottom